Dogo hujui mpira. Labda netball . Kama ni hivyo mimi ngekuwa mchezaji mzuri sana duniani. Lakini kawaulize wanaofaham mpira kimo cha Messi, Maradona n.k South Africa walichukua Afcon wa kimo gani? Zambia? Haya mambo unatakiwa uulize wanaume kwanza wakuelekeze vizuri ndo uje upost. Hii siyo Basketball dada. Mimi mrefu sana kama unavyonijua bwana ako na wala sijui kucheza mpira. Haya mambo sweet girl tuachie wanaume.