King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwahiyo una support dhana ya only strong will survive? Waache watakaokufa wafe wataobaki sawa??Sikatai na hoja zako lakini nikukumbushe tuu hata hizo nchi bado watu wanaangaia hivyo kwa huku kwetu acha tutumie head immunity system kutokana na hali yetu, kikubwa wale wenye hizo changamoto wachukue tahadhari maani inaonesha kwa kiasi kikubwa wao ndio wahanga wakubwa
Ilikusanya Mamlaka ya MapatoPesa si alikusanya yeye au[emoji23]
we unaonaje kwa financial status yetu??Kwahiyo una support dhana ya only strong will survive? Waache watakaokufa wafe wataobaki sawa??
we unaonaje kwa financial status yetu??
Not including me!! Let me tell you! am speaking from a far!! If u don' b've ma words ask Mrs Zomboko!!Including you au wewe ni mmarekani,?
Actually wapo wawili tena ndani ya wiki moja... na walizikwa pamoja. Nliumia sana. Lakini nikitazama kwa wenzetu wamejifungia ila bado maambukizi yapo juu na wanakufa... nasema ni heri kuchagua njia ya Mungu kuliko sayansi. Hili sio la saizi yetu.Haijampata mtu katika familia yenu ndio maana unaongea kwa kujiamini. Endelea hivyo hivyo siku ikimpata mmoja wenu ndio utajitambua.
Umemwambia vizuri Sana!!Kwahiyo tuendelee kusubiri mwezi wa ngapi ndio Corona itatufagia? Tulibiwa tutadondoka kama kuku wewe kideri....muda hujafika tu?
Corona inafyeka Wamarekani wenye chanjo na barakoa na social distance kuliko changanyikeni ya tz...
Nashauri wewe vaa barakoa