King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwahiyo una support dhana ya only strong will survive? Waache watakaokufa wafe wataobaki sawa??Sikatai na hoja zako lakini nikukumbushe tuu hata hizo nchi bado watu wanaangaia hivyo kwa huku kwetu acha tutumie head immunity system kutokana na hali yetu, kikubwa wale wenye hizo changamoto wachukue tahadhari maani inaonesha kwa kiasi kikubwa wao ndio wahanga wakubwa