Tumeumia, lakini chonde chonde tusiandamane...

Madikiteita huwa hawasikilizi maneno, ila mabomu. Definitely kufa ni lazima ili wengine wapone. Wakifa kama laki moja au zaidi dunia itaingilia kati na Tanzania ya haki itaundwa. Usiogope kura, kwani utaishi milele? Kwa hali ya sasa una tofauti gani na maiti?
 
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.
 
Acha ni kafe tu hakuna shida ila sitakufa peke yangu
 
Tufe wegi kama milioni hivi, the world will kick the tyrant out
 
Wewe kaa nyumbani sisi tutaandamana!
 
Nchi nzima idadi ya polisi na wanajeshi sidhani kama inafika laki moja, Chadema peke yake ina wanachama wanazidi milioni 7, Utawazuaiaje?

Wanajeshi wanaweza kuzuia maeneo maalum katika nyakati maalum. Hawana uwezo wa kuzuia watu wa nchi nzima!

Na display yoyote ya nguvu kupita kiasi kwa raia itakuwa ni muendelezo wa kukusanya ushahidi wa kuwafikisha watu ICC

Pia raia wakishakuwa wengi wanao uwezo wa kuzuia au kuchelewesha polisi wasiwaharibie mipango yao, kwa mfano maaskari huwa wanategemea usafiri wa magari yao, nimeona kwenye nchi nyingine raia wanawachelewesha kwa kuziba hizo barabara kwa mawe mazito, au kuchoma matairi.

Kiufupi ni hekima kuwaacha wananchi waandamane, hasa wakishakuwa wengi la sivyo ni uwendawazimu kutumia bunduki dhidi ya maelfu ya raia, maana at the end of day, kuua raia wanaodai haki zao za kiraia siyo heshima kwa jeshi makini. Jeshi haliwezi kujisifu uhodari kwa kuua raia wa nchi husika ili kulinda genge la watu wachache wanaotaka madaraka kwa kuiba chaguzi!
 
Naisubiri Asiyesikia la mkuu..... Mguu mmoja utaokotwa mwenge mwingine ubungo, shauri yako. Mwisho mita kumi tu.
 
Punguani utawajua tu, chama cha saccos mpo 7M kutoka wapi?. Mbona hamkumpa Mbeligiji hizo kura mkamwacha aiue Chadema kwa kura 1,933,271 tu?.
 
Mkuu mtu yeyote atakaesoma hili bandiko lako na akashindwa kukuelewa Basi jua huyo ana mapungufu makubwa Sana ya akili.

Niwakumbushe tu Watanzania wenzangu ikitokea Umewekwa kwenye tenga la polisi Zitto Wala lissu hawatakujua wewe Kama wewe zaidi ya kuendelea kulialia kuwa vijana wetu wamekamatwa.

Walikuwepo kina Mdude Leo hatupo nao Tena uraiani na familia zao zinaendela kuumia huku aliokuwa anawapambania wapo kuhamasisha raia wengine wakamatwe Kama yeye na familia zao ziendelee kusota kuwarejeshea uraini Kama inavyo sota familia yake.

N.B: Don't believe politicians.
 
Punguani utawajua tu, chama cha saccos mpo 7M kutoka wapi?. Mbona hamkumpa Mbeligiji hizo kura mkamwacha aiue Chadema kwa kura 1,933,271 tu?.

Sasa wewe unaleta figure zilizopikwa na TISS kwa kushirikiana na NEC kuwa ndo uhalisia?.

Cheki wizi wa mchana huu

Your browser is not able to display this video.
 
Theme: mijizi haina makazi salama, duniani wala mbinguni.

Wewe ni mmoja wa hiyo mijamaa?

Kama jibu ni "ndiyo", basi hiyo ndiyo habari yenyewe!
Hahaha mijizi haiishi duniani, ni kama njaa ukishiba hujakaa Sawa hii.
 
Kama unatoka kwenda kwenye maandamano ya amani unajidanganya. Ukweli ni unaenda vitani, umejiandaa? Wenzako wamejiandaa na silaa zote za kivita.

Waliojiandaa kwa silaha kwenda vitani dhidi ya waandamanaji walio katika haki yao ya msingi ya kuonyesha mawazo na hisia zao tu, hawana jina zaidi ya kuwa kumbe si wezi tu bali ni majambazi.

Wacha tuone watatukamata, kutupiga au watatuuwa wangapi?

Acha tuone pia kiongozi wao hatufai kwa kiwango kipi.

Dunia itakuwapo pia kuona.

Wajue pia kuwa nao hawatabaki salama.
 
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.

Wala si kuwa 2025 anagombea tena.

2025 anakwiba tena!
 
Naisubiri
Asiyesikia la mkuu..... Mguu mmoja utaokotwa mwenge mwingine ubungo, shauri yako. Mwisho mita kumi tu.

Usitutishe! Wewe baki usiandamane. Baki na miguu yako.
 
Jamani lazima tuandamane!

Huyu Nduli keshatuharibia kabisa nchi!
 
Hiyo paragraph ya mwisho umeandika UJINGA yaani unataka kusema hivi vyama haviheshimiki? Kudai Haki hakuna njia moja hiyo ya maandamano ni mojawapo....wamekwambia wataandamana bila kikomo unadhani siku zote watakuwa barabarani?
 
Maandamano yasiyo na ukomo uwezo huo watanzania hawana, kwanza watakula wapi, nani atawaletea chakula? Vinginevyo itawezekana kama kuna mtu anagharamia maandamano hayo
Unadhani watu wote wanauhakika wakula kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…