Inaonesha jina lako linakuakisi nakazia ni wapuuziKuwaita watu wapumbavu kisa wana maono tofauti na wewe ni kuonyesha jinsi ulivyokosa utu kwa aslimia 100%
Wanaccm kama wewe niwa kupuuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonesha jina lako linakuakisi nakazia ni wapuuziKuwaita watu wapumbavu kisa wana maono tofauti na wewe ni kuonyesha jinsi ulivyokosa utu kwa aslimia 100%
Wanaccm kama wewe niwa kupuuzwa
Hi ni komenti ya kiuaji.Ulifurahia mateso aliyoyapata. Hata wewe Kesho unaweza pata ajali mbaya ukavunjika UTI wa mgongo ukapata maumivu maisha yako yote.serikali haina Haja ya kuendelea kuhangaika na lisu.mateso aliyopata yanatosha.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Unanifurahisha sana uko wapi nikupe zawadi?JPM anashindwa vipi wakati upinzani kila chama kinaweka mgombea ?
Jpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambia
Vinginevyo maana yake ni nini hasa? Akishinda kwa haki hakuna atakayelalamika hata kidogo. Tatizo ni huko kupanga kushinda na kujipangia asilimia za ushindi kabla ya upigaji kura wenyewe.Mnalazimisha ushindi na wakati hamwezi kushawishi wapiga kura?Kigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
...nadhani ni kwa mujibu wa ndoto za mchana kweupeHuru na haki kwa mujibu wa nani?
Walishaona kuwa watakuwa wanapata mtaji mkubwa was kisiasa mbele ya halaiki kubwa ya watu pale Uhuru Stadium..hyo ndo SiSieMMh mie naona bado hata kwenye kuaga wamewazuia.
Kwa mujibu ya misingi ya haki na usawa katika kuwapata viongoziHuru na haki kwa mujibu wa nani?
Mmeshindwa kumzuia kuendelea kutoa elimu ya uraia bure kwa watanzania, kwangu hicho kilikuwa kigingi.Kingi Cha kwanza Tundu Lisu kabwagiwa kwenye kura za uteuzi kamati kuu kaongoza Nyalandu kigingi Cha pili kinamngoja baraza kuu .Bado ana vigingi vya kuvuka si vibaya akianza kujiandaa kisaikolojia akibwagwa na baraza kuu
Magufuli lazima atawale awamu ya pili, mtake au msitake.Tanzania jana ilikuwa kwenye darubini za Jumuiya za Kimataifa kuhusu kuwasili kwa Tundu LISSU. Taasisi nyingi zilitegemea kungetokea vurugu nchini na polisi kumkamata Tundu LISSU.
Kwa ujumla mapokezi yalikuwa salama na Tundu Lissu hakukamatwa, hicho ni kigingi cha kwanza ambacho tumekivuka. Kigingi cha pili ni uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Je, utakuwa huru na haki, uchaguzi huu utatuweka tena kwenye darubini za kimataifa.
Magufuli atashinda kwa kishindoJpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambia
Familia yangu na jamaa zangu nimewaambia hata kwa dawa wasimpigie kuraKigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
Amini nakwambia Tundu Lissu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano coming October 2020Magufuli atashinda kwa kishindo
Turudi hapa October 2020That's a daymare and not a nightmare.
Hii thread itakuwepo, tutaifukua kama tukijaliwa uhai.Amini nakwambia Tundu Lissu ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano coming October 2020
Piga ua, kwenu uchaguzi wa huru na haki ni mgombea wa upinzani kushinda tu. TumeishawachokaVinginevyo maana yake ni nini hasa?Akishinda kwa haki hakuna atakayelalamika hata kidogo.Tatizo ni huko kupanga kushinda na kujipangia asilimia za ushindi kabla ya upigaji kura wenyewe.Mnalazimisha ushindi na wakati hamwezi kushawishi wapiga kura?
Wasipige wapige atashinda kwa asilimia 90 na zaidiFamilia yangu na jamaa zangu nimewaambia hata kwa dawa wasimpigie kura
Tuamini kwenye mema zaidi ya mabayaYOU ARE RIGHT MAN, tupo msibani, vurugu zitatuchafulia CV....na kutengeneza historia mbaya kwa vizazi vyetu........soon