Tumewasikia Bashe, Mpina, Tulia na wazalishaji sukari. Tumeelewa nini?

Pia tumeona Bosi wa ZRA kawa bosi wa TRA😏 mmeelewa nini kuhusu mapato ya bara kuhamishiwa Visiwani?
 
Bashe yupo sahihi kwa asilimia zote.

Ni yeye peke yakje ndiye aliyefanya maamuzi ya kuliokowa jahazi kwa kuagiza sukari kwa haraka na kuweza kushusha bei ya sukari.

Wazee wa sukari walinishangza waliposema wamekosa meli ya kupakilia sukari kutoka Brazil.

Cha kushangaza ikiwa wao ni magwiji wa sukari kama waliuvyojitapa, vipi 'wauza vocha" waweze kupata meli na kuingiza sukari kwa haraka, wao washindwqe?

Walitudanganya sana katika maelezo yao. Watanzania tunachotaka ni sukari tena ya bei nafuu. Walikuwa wapi siku zoite mpaka sukari inafikia 10,000 kilo?

Maelezo ya Tulia, yalitulia, alituhakikishia bungeni kuwa Tanzania sukari ni bei ya juu kuliko nchi zinazotuzunguka kwa viwango vya kusimumuwa.

Wazee wa sukari na mpina hawakuliona hilo? Na ujanja wao wote wa sukari.


Heko kwa Bashe na heko kwa kuvunja monopoly yao, sasa au wazalishe au wasizalishe bohari za kuhifadhi chakula zitajaza sukari na wataagiza waonavyo wao sahihi ikibidi.

Binafsi nampongeza sana Bashe.


Mpina wa kuhurumiwa tu, kwa usongo wake wa kukosa uwaziri kuwa na fitina za kila siku bungeni kama vile mawaziri ndiyo walimkosesha hiyo kazi.
 
Bashe anachonifurahisha siyo kwenye sukari tu, anapofanya maamuzi magumu kwenye kilimo. Ndani ya uwaziri wake Tanzania tunapeleka mazao ya chakula nje ya Tanzania kwa kufata utaratibu wa kutuwezesha kukusanya mapato na takwimu sahihi.

katika uongozi wa Bashe tunaona ruzuku za wakulima zikiongezeka na tunaona zikizaa matunda.

Bashe ni Bingwa.
 
Huko shule ulienda kusomea ujinga .
 
Wapi ninaweza kupata takwimu za ile project ya "BBT" ?
 
Ukiona vitoto vya simba vinacheza porini......kuwa makini
 
Hahaha umeeleza vizuri sifa njema za Maskini.

Akishapata anaona bora alale awe anakula bure.
 
1.Sukali ni dili.
2.Kampuni za kuzalisha sukari nchi hazina uwezo wa kuzalisha sukari inayotosheleza mwaka mzima.
3.Kwa mujibu wa taratibu katika kipindi cha upungufu wa sukari makampuni ya kuzalisha sukari ndiyo yanatakiwa yapewe vibali vya kuagiza sukari kutoka nje na kuisambaza.
3.Bashe kwa kugundua hilo dili akaamua kupiga fedha commission kwa kutoa vibali kwa kampuni nyingine (hadi wauza vocha) badala ya kuwapa makampuni ya kuzalisha sukari.
4. Sakata hili limenikumbusha kashfa ya Sukari iliyomkumba marehemu iddi simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…