Tumewasikia watu wote, nini hitimisho la mjadala wa Bandari?

Tumewasikia watu wote, nini hitimisho la mjadala wa Bandari?

Mtumishiwetu

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
196
Reaction score
346
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.

Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tumewasikia wabunge na Spika wa Bunge na wabunge, tumeshamsikia Waziri Mkuu, tumeshasikia maazimio ya Halmashauri Kuu ya CCM, tumeshasikia viongozi wa Dini, tumeshasikia wanasiasa, tumeshasikia wanasheria, tumesikia asasi za kiraia, tumesikia na makundi mbalimbali ya wananchi wa kada mbalimbali.

Swali langu ni moja tu MJADALA HUU WA BANDARI HITIMISHO LAKE NI LIPI?
 
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.

Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tumewasikia wabunge na Spika wa Bunge na wabunge, tumeshamsikia Waziri Mkuu, tumeshasikia maazimio ya Halmashauri Kuu ya CCM, tumeshasikia viongozi wa Dini, tumeshasikia wanasiasa, tumeshasikia wanasheria, tumesikia asasi za kiraia, tumesikia na makundi mbalimbali ya wananchi wa kada mbalimbali.

Swali langu ni moja tu MJADALA HUU WA BANDARI HITIMISHO LAKE NI LIPI?
Hitimisho ni Mkataba kuvunjwa na wahusika kuchukuliwa hafua kali za kisheria kwa makosa yao waliyotenda.
 
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.

Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tumewasikia wabunge na Spika wa Bunge na wabunge, tumeshamsikia Waziri Mkuu, tumeshasikia maazimio ya Halmashauri Kuu ya CCM, tumeshasikia viongozi wa Dini, tumeshasikia wanasiasa, tumeshasikia wanasheria, tumesikia asasi za kiraia, tumesikia na makundi mbalimbali ya wananchi wa kada mbalimbali.

Swali langu ni moja tu MJADALA HUU WA BANDARI HITIMISHO LAKE NI LIPI?
.....

Wabunge wamekubali...

Serikalini nayo ikubali na tuingie huu mkataba kwa maslahi mapana ya nchi dhidi ya maslahi ya washindani wetu kibiashara poppte walipo iwe KENYA ama ANGOLA...

#MimiNaDPWorld[emoji120]

#Naiunga Mkono Serikali yangu adhimu Iharakishe huu mkataba[emoji120]
 
Hitimisho ni Mkataba kuvunjwa na wahusika kuchukuliwa hafua kali za kusheria kwa makosa yao waliyotenda.
Kwanini uvunjwe?!!!

TICTS wamekaa miaka 22 pamoja na madudu yote yaliyopo....

Wenyewe hatuwezi kuifanya mifumo ya TEHAMA ISOMANE vyema kati ya TPA na TRA...sababu zinajulikana....

Anakuja mwekezaji anayekuahidi kukupa zaidi ya NUSU YA BAJETI ya "fiscal year" kila mwaka unamkatalia?!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sikwenda chuo kikuu kusomea "umirembe"[emoji1787]
 
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.

Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tumewasikia wabunge na Spika wa Bunge na wabunge, tumeshamsikia Waziri Mkuu, tumeshasikia maazimio ya Halmashauri Kuu ya CCM, tumeshasikia viongozi wa Dini, tumeshasikia wanasiasa, tumeshasikia wanasheria, tumesikia asasi za kiraia, tumesikia na makundi mbalimbali ya wananchi wa kada mbalimbali.

Swali langu ni moja tu MJADALA HUU WA BANDARI HITIMISHO LAKE NI LIPI?
Hitimisho Serikali ijitathimini! Haiwezekani mkataba kati nchi na nchi ukasainiwe na Mkurugenzi wa Bandari. Hili tu linatia shakha tosha juu mkataba wenyewe wote.
 
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.

Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tumewasikia wabunge na Spika wa Bunge na wabunge, tumeshamsikia Waziri Mkuu, tumeshasikia maazimio ya Halmashauri Kuu ya CCM, tumeshasikia viongozi wa Dini, tumeshasikia wanasiasa, tumeshasikia wanasheria, tumesikia asasi za kiraia, tumesikia na makundi mbalimbali ya wananchi wa kada mbalimbali.

Swali langu ni moja tu MJADALA HUU WA BANDARI HITIMISHO LAKE NI LIPI?
1.ccm warudishe hela za mwarabu tumegoma wenye nchi yetu.

2.Raisi asikae kimya utumbia anachokijua kuhusu hii DPW.
 
Hitimisho ni Mkataba kuvunjwa na wahusika kuchukuliwa hafua kali za kisheria kwa makosa yao waliyotenda.
Samia bila kulazimishwa na wananchi hana ubavu huo!! Ushahidi ni jinsi alivyodharau report ya CAG na kuwaacha wahalifu scot free! It is unfortunate she is sitting on that powerful chair without leadership qualities.
 
Acha kuimba ngonjera za wanasiasa...fafanua hayo maslahi.
Nawe unaimba ngonjera za akina nani ?!!![emoji1787]

Bandari ina "berth" 11...

DP WORLD wanachukua "berth" 7 tu ....4 wanabaki wahangaike nazo TPA(status quo) [emoji1787]

Katika hizo 7 mwekezaji anakuambia nitakupa trilioni 26...zaidi ya nusu ya bajeti ya trilioni 44 ya mwaka huu wa fedha....wewe unapinga ?!!![emoji1787]

Sikwenda chuo kikuu kusomea upumbavu...[emoji1787][emoji1787]
 
Nawe unaimba ngonjera za akina nani ?!!![emoji1787]

Bandari ina "berth" 11...

DP WORLD wanachukua "berth" 7 tu ....4 wanabaki wahangaike nazo TPA(status quo) [emoji1787]

Katika hizo 7 mwekezaji anakuambia nitakupa trilioni 26...zaidi ya nusu ya bajeti ya trilioni 44 ya mwaka huu wa fedha....wewe unapinga ?!!![emoji1787]

Sikwenda chuo kikuu kusomea upumbavu...[emoji1787][emoji1787]
Hoyo yapo katima kipengere gani cha mkataba wa IGA uliopitishwa na bunge!?utueleweshe !
 
Back
Top Bottom