Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Aisee huyu jamaa ana speed ya ajabu natamani nimjue mmiliki wake ,pamoja na nguvu kubwa za makampuni nguli kama Meridian na sportpesa ila BiKo kaibuka kinara wa ulipaji kodi kwa makampuni ya michezo ya kubahatisha.
Kwa mwezi jana tu kaipa serikali ya TZ kiasi cha Tsh 2.1billion , kumbuka hawa jamaa wameanza juzi tu mwezi wa 4^2017
(Hii ninishara kubwa ya mafanikio wanayoyapata kama kampuni)
Majuzi wamelunch tena Sport Bett ...
na sasa wanachezesha michezo mingi zaidi ya ubashiri online .
www.bikosports.co.tz
My take
Nataka kumjua muhusika wa hii kampuni , salamu zangu za pongezi zimfikie moja kwa moja kwa uthubutu na uwezo wake mkubwa wa kufanya marketing ikiwa ni kuunda management imara kwa kampuni yake. (ipo management skill ya kujifunza kutoka kwake)
Kwa mwezi jana tu kaipa serikali ya TZ kiasi cha Tsh 2.1billion , kumbuka hawa jamaa wameanza juzi tu mwezi wa 4^2017
(Hii ninishara kubwa ya mafanikio wanayoyapata kama kampuni)
Majuzi wamelunch tena Sport Bett ...
na sasa wanachezesha michezo mingi zaidi ya ubashiri online .
www.bikosports.co.tz
My take
Nataka kumjua muhusika wa hii kampuni , salamu zangu za pongezi zimfikie moja kwa moja kwa uthubutu na uwezo wake mkubwa wa kufanya marketing ikiwa ni kuunda management imara kwa kampuni yake. (ipo management skill ya kujifunza kutoka kwake)