Tumia mafuta kidogo kwenye gari yako kwa umbali ule ule wa siku zote

Miaka ya nyuma ilikuja kitu kinaitwa oko eti tyre ikikanyaga misumari inajiziba wakaanza kuwekewa wabunge baada ya muda ikapotea kabisa na ufanyaji kazi wake ilibaki kitendawili hadi leo
 
Hiyo package ni bei gani? tusaidie na sisi wenye majini wanywa mafuta barabarani...
 
Huo ndio mwanzo was kualibu injini ya gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…