Kawaida yako kwa parkage tofauti na bei tofauti na nadhani pia quality tofauti, ahsante mzizi mkavu mi nimekuwa nikishughulija na haya mafuta kuuza kwa miaka mitatu sasa nilishangaa baada ya kumuona mzee aliyekuwa amepooza kwa miaka mitatu anatembea baada ya kutumia chupa sita. Na nilipigwa na butwaa zaidi baada ya kumuona mtu akipona kwa dakika kumi tu.. tangu hapo niligundua ni kitu cha thamani mno.. nimekuwa nikisambaza na kufundisha kuhusu haya mafuta maeneo mbalimbali ya nchi yetu. Now niko Geita. Nadhani tunachohitaji zaidi ni elimu coz mengine ni feki. Nawasilisha.