Tumjadili Hashim Dogo na Ufalme wake wa Hip - Hop

Tumjadili Hashim Dogo na Ufalme wake wa Hip - Hop

Alkua tu mwandishi mzuri, kuusu ufalme iyo hapana aise, lakini rhymin jamaa kweli ALIKUA anaweza, sasa kwanin siku izi hayupo? nnavyojua mtu kuitwa mfalme ina maana we ni kiongozi wa teritory mpaka kufa, sasa hatuwezi kumuita mfalme akati hayupo tena, ha-exist.. tumuiteni best lyrcist au best rhymer au best freestyler, au sijui nini kingine, kuhusu ufalme hapana

Nadhani hili ndo la msingi. King angekuwa ame-mantain toka enzi hizo mpaka sasa pengine tungeweza kumwita King au angalau angekuwa hayupo kabisa dunia lakini akawa ametamba kwa wakati huo hapo sawa lakini sasa hivi yupo na kashapotea mda mrefu uliopita aaahhh hapo tutasita kumwita Mfalme
 
Tunamwita mfalme sababu ni package iliyokamilika ya hiphop, wenzake wengi wanafanya vizuri lakini wakosa baadhi ya vitu muhimu kwenye utamaduni wa hiphop. Kwa mfano Kwanza Unit ni wachanaji wazuri lakini hawakuwa na ujuzi wa kufreestyle kitu ambacho pia anakikosa Fid Q.

Kuhusu uhandishi wake pia ni baabkubwa ndio maana ukimsikia anavyochana ni ana tiririka sababu anaandika hatungi kupata punchline kali.

Umeandika kwa ufasaha sana.kudos.
 
Tena nashangaa mtu ana ngoma hata hazifiki tano (nadhani zipo tatu) zinazojulikana 'eti' anapewa ufalme.....tuache upenzi na tuwe wakweli, Hashim hastahili ufalme, kwanza pale bongo flavour ilipoanza kupewa airtime ya kutosha radioni yeye alikuwa keshapotea. ..
 
Alkua tu mwandishi mzuri, kuusu ufalme iyo hapana aise, lakini rhymin jamaa kweli ALIKUA anaweza, sasa kwanin siku izi hayupo? nnavyojua mtu kuitwa mfalme ina maana we ni kiongozi wa teritory mpaka kufa, sasa hatuwezi kumuita mfalme akati hayupo tena, ha-exist.. tumuiteni best lyrcist au best rhymer au best freestyler, au sijui nini kingine, kuhusu ufalme hapana

Kwa hizo criteria ulizozitaja kwa nini asiitwe mfalme?
 
Ningependa kujua nyimbo zake huyo Dogo hashomu zilizo hit!
Alishawai kufanya show gani?

ngoma iliyohit inaitwa Tunasonga amemshirikisha bwana mdogo Kalapina.
Pia yuko kwenye mixtape ya Explastaz ktk nyimbo inayoitwa Round table.
Shadow in the Darkness ni nyimbo yake iliyotamba early 90's
 
Msitumalizie chaji kwny cmu zetu,mtu anaimbia bafuni tutamkubalije na kumwita mfalme?!!TUTOLEENI UTOTO HAPA
 
Msitumalizie chaji kwny cmu zetu,mtu anaimbia bafuni tutamkubalije na kumwita mfalme?!!TUTOLEENI UTOTO HAPA

ASIYEHUSIKA NA HIPHOP ATOKE wa kwanza wewe nenda kamsubiri Dai na Kiba makocha wa team zenu huku ni wale wenye IQ kubwa tu
 
Back
Top Bottom