Tumjadili huyu Mstaafu hapa wakuu tuone ana akili timamu au sio mzima

Tumjadili huyu Mstaafu hapa wakuu tuone ana akili timamu au sio mzima

From Meru

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2023
Posts
3,931
Reaction score
9,376
Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.

Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.

Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.

Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.

Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?

Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.

Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.

Hii ilikua miaka 6 nyuma.
 
1. Hiyo zaka alibugi step. Hiyo hata Gwajima na mshahara na posho zake zote za ubunge plus sadaka, hatoi.
2. Kuhusu kushirikisha watoto wake mimi siungi mkono. Siyo lazima. Kazi alifanya yeye siyo watoto. Watoto wajitafutie wenyewe na waache kulalamika.
Watoto hawalalamiki kwamba walitaka awape pesa la hasha wao wanalalamika matumizi yake kiasi akaenda kukopa kumalizia ujenzi. Matokeo yake anaishi maisha ya hovyo kutwa kusumbuana na wanae kumsaidia
 
Watoto hawalalamiki kwamba walitaka awape pesa la hasha wao wanalalamika matumizi yake kiasi akaenda kukopa kumalizia ujenzi. Matokeo yake anaishi maisha ya hovyo kutwa kusumbuana na wanae kumsaidia
Huyo inaonekana ni hawa watu walioshikwa vichwa na makanisa. Hasa wanawake ni waathirika wakubwa. Maskini hajui kuwa zaka anayotoa inakwenda kutumiwa na hawa manabii ''kula kondoo''
 
Katika kazi zangu za saidia fundi
kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. mama yake kastaafu
alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka
yote ya utumishi hakuwahi kujenga.
alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake
ya kwanza na ya pekee.

Picha linaanza alipopokea hela
ya kustaafu aligawia ndugu zake
ela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi
Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi
akaenda kukopa amalizie nyumba
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngap.
Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba
ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10..kwangu mm namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
KAma ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.

Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Zaka buku tu ingetosha
 
Katika kazi zangu za saidia fundi
kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. mama yake kastaafu
alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka
yote ya utumishi hakuwahi kujenga.
alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake
ya kwanza na ya pekee.

Picha linaanza alipopokea hela
ya kustaafu aligawia ndugu zake
ela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi
Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi
akaenda kukopa amalizie nyumba
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngap.
Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba
ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10..kwangu mm namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
KAma ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.

Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Kwani hiyo hela aliyotoa kanisani inakuuma?
 
Kama hujazaliwa kwenye hela ni ngumu sana kupanga bajeti ukipata hela ndefu kwa mara moja maana huna plan yoyote.
Maisha yako yalikuwa ni kusubiri mshahara, wala msimlaumu ni akili ya umasikini hiyo ambapo hata alikopeleka hiyo 10m akiwaomba wamlipie hata chakula hawatampa hapo ndio mjue aah nisiingilie sana Imani
Ila yote kwa yote huyo haijui hela ya pamoja na hajawahi kuiona ila hii iliyoisha kijinga
 
Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.

Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.

Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.

Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.

Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?

Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.

Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.

Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Zaka ni 10% ya pato. Kwahiyo alilipwa million 100. Akatoa mil. 10 na kubaki na mil. 90. Hiyo mil. 90 ingetosha kabisa kujenga nyumba ya kawaida ya vyumba 3 na kubaki!
 
Back
Top Bottom