Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Hao wakipata hela huwa hawashikiki na huezi kumweleza kitu mkaelewana hadi pesa iishe ndo akili inatulia.Alipopata pesa alitakiwa awashirikishe wanae kwanza au angeacha kugawa ovyo angemalizia ujenzi kisha angetoa sadaka kidogo
Mwandishi kasema miaka sita (6), iliyopita. Nadhani ilikuwa ni kabla ya kikokotooUnafahamu kuwa kwa kikokotoo kipya kinacho tumika saiv kuna wastaafu hulipwa mafao ya mil 30 mpka 40 ama chini ya hapo? Hyo milioni 100 ilikuwa kikokotoo kile cha zamani.
Mbona hasira mkuu umekunywa chai ya tangawizi kwel leo?Msikitini hakuna fungu la kumi wala mchango wowote ule wa kupangiwa.
Usihusishe vitu usivyovielewa kujengea hoja yako.
Pesa yangu mwenyewe niwashirikishe watoto wangu ili iweje? Walinisaidia nini kuipata katka utumishi wangu?Alipopata pesa alitakiwa awashirikishe wanae kwanza au angeacha kugawa ovyo angemalizia ujenzi kisha angetoa sadaka kidogo
Another one from mstaafu.Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.
Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.
Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Mpwayungu Village huyu mstaafu alikuwa mwalimu au?Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.
Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.
Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Watoto ni kwa ajili ya kupata ushauri siyo kugawana nao pesa yake.1. Hiyo zaka alibugi step. Hiyo hata Gwajima na mshahara na posho zake zote za ubunge plus sadaka, hatoi.
2. Kuhusu kushirikisha watoto wake mimi siungi mkono. Siyo lazima. Kazi alifanya yeye siyo watoto. Watoto wajitafutie wenyewe na waache kulalamika.
Pesa yangu mwenyewe niwashirikishe watoto wangu ili iweje? Walinisaidia nini kuipata katka utumishi wangu?
Mambo ni mengi sana.Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.
Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.
Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Katika kazi zangu za saidia fundi kuna hiki kisanga bwana mdogo alikua analalamika kuhusu mzazi
wake wa kike. Mama yake kastaafu alikua mtumishi serikalini halmashauri moja Arusha. Miaka yote ya utumishi hakuwahi kujenga alipopata hela ya kustaafu kiinua gongo ndiyo akajenga nyumba yake ya kwanza na ya pekee.
Picha linaanza alipopokea hela ya kustaafu aligawia ndugu zake hela kidogo kidogo pia akatoa zaka
Mil 10 ndipo akaanza ujenzi Pesa ikaisha hajamaliza ujenzi akaenda kukopa amalizie nyumba.
Na wakat anajenga hakushirikisha watoto na hata hela hawajui alipata sh ngapi. Alipotaka kukopa ili amalizie nyumba ndio alipowashirikisha watoto wake.
Matokeo yake anaishi kiujanjaujanja kama winga kutokana na kukatwa pensheni yake mkopo wa miaka 5.
Je, huyu mstaafu tumuweke fungu gani?
Mimi my take niliona kwqnza alibugi hyo fungu la 10. sipingi kutoa mchango kanisani/msikitn lakini kwa
akili zangu za kubeba tofali saiti huyu mama hakupaswa kutoa zaka ya mil 10. Kwangu mimi namuweka kundi la wastaafu maskini ikiwa hata nyumba yake kajenga kwa hela ya kustaafu.
Kama ni zaka kwa hali yake huyu alipaswa atoe hata mil 1 badala ya milion 10 aliyoenda kuitoa alipopata tu cheque yake.
Hii ilikua miaka 6 nyuma.
Amen.Huyo mstaafu ameshajenga nyumba yake mbinguni sababu hapa duniani si makazi yetu