Tumjadili Jean Baleke, tusisubiri mpaka akosee

Tumjadili Jean Baleke, tusisubiri mpaka akosee

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230404-091007_Gallery.jpg
 
Unamuona Bora baada yakucheza na mtibwa
Ngoja tuone maji yatajitenga na mafuta tu.
Kaifunga Raja mgoli wa kideo. Kamfunga Horoya magoli 2.We bado unawaza mtibwa tu.Hizi roho zenu mbaya zitawafanya muwe wachawi uzeeni.

Hata ukimuuliza mayele mwenyewe nani anamuogopa kwenye ligi ya nbc atakwambia Baleke. Halafu wewe Ntumpikere la sangwamwarugesha unasema Baleke hamna kitu
 
Mi ni Yanga ila jamaa anajua sana nadhani safari ya GSM Lubumbashi alienda kufunga kazi Mayele atatokea pembeni Musonda pembeni Baleke kati Kisha nyumba Yao Aziz Ki
 
Kule kwao alipigwa na 'kitu kizito' hadi TP Mazembe wakaona hawafai wakamtoa kwa mkopo au.
 
Jini hili[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom