OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa nini umeikwepa Horoya akifunga goli 2 au mgoli wa Raja?Unamuona Bora baada yakucheza na mtibwa
Ngoja tuone maji yatajitenga na mafuta tu.
Huu uzi unakuzidi kimo nafikiri ungesaidia dada zako kuosha vyomboKabla ya baleke ingekuwa busara turudi kumjadili Kibu D kwanza mbona kama tumemtelekeza?
Kaifunga Raja mgoli wa kideo. Kamfunga Horoya magoli 2.We bado unawaza mtibwa tu.Hizi roho zenu mbaya zitawafanya muwe wachawi uzeeni.Unamuona Bora baada yakucheza na mtibwa
Ngoja tuone maji yatajitenga na mafuta tu.
Hajui wala hakuona .Chura [emoji196][emoji196]alikuwa majarubani anaogeleaKwa nini umeikwepa Horoya akifunga goli 2 au mgoli wa Raja?
Lile goli limeingia kwenye mchuano wa goli Bora..akili kubwa sana.Jini hilo ile kamba yake na Raja naishia kusema tu 'what a baller? Top player.
Mi mwenyewe Yanga aFlikA mwenzio πππMimi mwenyewe Yanga lakini Baleke anajua πππ
Ambaye ndio huyo ameivusha Simba robo huku Mazembe wakishindwa hata kuifunga UtoKule kwao alipigwa na 'kitu kizito' hadi TP Mazembe wakaona hawafai wakamtoa kwa mkopo au.
Wakati anacheza na Horoya hukuona?Unamuona Bora baada yakucheza na mtibwa
Ngoja tuone maji yatajitenga na mafuta tu.