[/TD][TABLE="width: 660"]
[TR]
[TD]
The money was carried by a young girl who was a passenger on the bus.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Who is that girl?!. Kwenye doctrine ya "the end justifies the means", shujaa ni aliyebeba mzigo na kuufikisha na siye aliyekabidhi mzigo kwa mbebaji!.
Pasco.
Kyenju !! I love too "! teh teh teh teh!Kahtaan huna lolote, unavyokemea uje na lugha ya yenye stara, lakini umekuja na matusi, pamoja na pamoja na majibu ya hovyo hovyo. Na ukifuatili mijadala mingi lugha yako ni ya matusi, na bila shaka unajitambua. Ondoa boliti lako, ndiyo umgeukie mwenzako kumwambia aondoe banzi lake.
You can't bite me, check hata kwenye haya majibu yako umeonyesha nijinsi gani hata huwezi kujishikilia. Yaani kwako kuandika kitu bila kuhusisha ukristo hicho bado hakijakamalika, mara yako ya mwisho kutubu kwa padri ni lini?
Nilivyomuelewa Mzee Mohamed Said ni kuwa hata ikiwa vipi hakuna ujanja wa kuisimulia historia ya Tanganyika/Tanzania kwa sasa ukawakwepa wenyeji wa mji wa mwambao/ pwani nikimaanisha wengi wao walikuwa waislamu,
Sasa ndo maana hata akileta mchango wa mpigania Uhuru mwengine asokuwa muislamu lazima atakutana na hao wenyeji wa mji huo ambao % kubwa ni waislamu, sasa tusipende kutanguliza chuki wakati yeye anatoa mpaka rejea zake kwa yeyote mwenye kukanusha simulizi zake, vinginevyo naona hapa upande wa pili ni sawa na mtu umeshajiandaa kupinga kila kitu japo hujajua nini aleta mtoa mada,
Na elimu ya matusi sidhani kama ni stahiki kwa wataalamu hasa ambao wanategemewa kuwa Challenger katika hoja za msingi kama hizi,
Naomba wana historia tujikite katika mada tuache dhihaka/kejeli bila kusahau mizaha katika mambo ya msingi.
Mkuu Kahtaan, long time nafahamu kuwa wewe ni mtu wa jokes, ila shida yangu ni pale wenzako wanapoleta jokes zao kwako au kwa swaiba zako, huwa unajibu kwa jazba wakati zile ni jokes tu.
Aaaaa! Ok!! Mi nilikuwa sijui kuwa matusi na kashfa pia ni jokes!
Asante sana kunifundisha!
Kuanzia leo mkuu ntajitahidi kujibu bila jazba ila tu nakuomba Ubaki na msimamo wako huo huo kuwa MATUSI AU KASHFA PIA NI JOKES!
Manake tusije laumiana tena!
Ubarikiwe sana kwa somo la leo uliotoa!
🙄
Kyenju !! I love too "! teh teh teh teh!
mbona nyie watu mnamuona kahtaan tu?? Yaani ktk MEMBER ZAIDI YA LAKI anaetumia lugha kali kahtaan tu??!
Aisee nyie inaonekana siku nikiondoka mta ni miss saana! especially King'asti!! teh teh teh teh! she is always behind my back!! just like a stalker!!
Angalia POST ZANGU ZOOTE! HAKUNA SEHEMU MTU AKAKONGEA KISTAARABU MIMI NIKAMJIBU KASHFA!! HATTA SIKU MOJA!!
WE KAMA UNAO USHAHIDI LETA HAPA, NA MIMI NIENDE KUTUBU KWA PADRI!!
Otherwise nyie mtakuwa na macho kama ya njiwa! MANONA UPANDE MMOJA TU!
Chill out and Have a nice day kyenju, I am not going to bite you!!
Mbona KAWAWA wamkwepa Shekhe?
the way you react to different situations defines you. and if you allow other people to decide how you behave then that is entirely your loss. Jifanye umisike basi, seriously siwezi kumiss mtukanaji. ungeweza kuwa mstaarabu kama FaizaFoxy. na lugha yako wala siihusishi na imani yako, ni tabia yako binafsi.
Mossad,Samahani wabara kwa kwan katika kupigania uhuru tunaangalia itikadi za kidini au utaifa.
Teh teh teh!
Look miss Eliot! Did you ever had a dream about kahtaan?
Honestly! !
All I can say here is "you are all over me:
Come on now! I gat to say again! YOU ARE A STALKER! AND I WILL CALL THE POLICE FOR YOU!!
I never make a comment about your filthy comments here!
But you seems to care a lot of what I say!!.
Keep your hands of me! I dont like to embarrass woman!
Tell those galatians too how to talk to people! But you can't do that can you!?
Cause one them could be mr King'asti annit??
Allow me to say this" if you ever try to show your double standards ever again, I will never care if you wear a skirt, g string, bikini ,or trouser!
I am goin to fire at will!
And believe me miss you ain't goner like me!!
Now watch yourself! ! Miss plonker!
Cause Big daddy is watching you!!:sly::sly::sly:
Hahahaha, matisho!:doh:
And i aint nothing like you, neither desiring to be Lord have mercy on me
now who is stalking who? hehehe (just curious, wagalatia ni watu gani? )