Tumlaumu Nyoka au Adam na Eva?

Tumlaumu Nyoka au Adam na Eva?

M
Uzi wa WAGANI naona mmeitana.

endeleeni kujadili ujinga wenu

Zab 53:1 SUV​

Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

Mt 11:25-26 SUV​

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.
wala mimi sio Mpagani hapa, Maskini sidhani kama hata Umeelewa kilichoandikwa
 
Uzi wa WAGANI naona mmeitana.

endeleeni kujadili ujinga wenu

Zab 53:1 SUV​

Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.

Mt 11:25-26 SUV​

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.
wala mimi sio Mpagani hapa, Maskini sidhani kama hata Umeelewa kilichoandikwa
 
Kwenye biblia Adamu alikufa miaka mingi kabla Musa hajazaliwa. Nadhani Musa ni kizazi cha 4 au cha 5 baada ya Adamu.
Hata kwenye Uislam Vivyo hivyo, Bali hadithi inaeleza Musaa alimwomba M/Mungu amletee Adam kwa Ajili majadiliano nae ina ilikuwa in term of miracle Ufufuo tu wa part time.
 
No one to blame. Another possible way to stop the curse on its tracks was for Adam and Eve not to have sexual relationship. So After their exit from the face of the earth, God will have to come with another plan, because the whole world would have become full of everykind of animals but 0 human beings.
 
No one to blame. Another possible way to stop the curse on its tracks was for Adam and Eve not to have sexual relationship. So After their exit from the face of the earth, God will have to come with another plan, because the whole world would have become full of everykind of animals but 0 human beings.
I have seen so many scriptures that claim that the fruit was a sexual act, but some are discredited by claiming that it is the Real Fruit.
 
I have seen so many scriptures that claim that the fruit was a sexual act, but some are discredited by claiming that it is the Real Fruit.
Hapana sio sexual act, sababu waliambiwa wazaliane wawe wengi,Na mimi nimekutana na msomi mmoja aliyedai kuna vipande vimepungua kwenye MWANZO yeye anadai Adam alimgeuza Eve kinyume cha maumbile ndio laana ikaanzia hapo. Kuna theories nyingi sana. Ila no sex sio problem.

Tatizo liliipo ni kwamba huo mti umepotea wakati mto tigris na Euphrates bado upo, ma miti mingine maeneo hayo.

Vile vile changamoto kwa Adam kutaka mchepuko haikuwepo pia wala Eve kutaka mwanaume mwingine.
 
Hapo ndipo utaona hii story imetungwa enzi za ujinga.
Tuwekee ushahidi. Ni uwendawazimu kudai jambo limetungwa bila kutuambia limetungwa vipi na ushahidi uko wapi.

Jambo kama wewe hulielewi au akili yako haikubuli kielimu ni kosa kudai ya kuwa ni uongo mpaka pale utakapo thibitisha hili.
 
Hii ni Hadithi ya mtume Muhammad (S.A.W) akielezea jinsi Nabii Musa yule aliyesumbuana na Farao kule Misri alivyokutana na Nabii Adam baba wa kizazi cha Wanaadamu Ulimwenguni.

Inasimuliwa

Nabii Muhammad (ﷺ) alisema,

"Adam na Musa walibishana wao kwa wao.

Musa akamwambia Adam.

" Ewe Adam! Wewe ni kipi kilikufanya ufukuzwe katika bustani ya Mwenyezi Mungu, kwanini ulivunja miadi ya mwenyezimungu (ukala tunda na mkeo ukafukuzwa peponi)"

Adam akamjibu

"Mwenyezimungu alikuwa ameiandika katika hatima yangu miaka kabla ya kuumbwa kwangu.
Hadithi hii tunaipata wapi katika vyanzo vyetu sisi Waislamu ?
Masimulizi haya yanaeleza namna Nabii Mussa alivyomuomba Mola wake amkutanishe na Nabii Adamu ili apate kumuuliza kilichomsibu ikafikia hatua ya yeye, kumuasi mola wake wake kwa kumfuata Ibilisi naye Adamu akajikuta yu Uchi kufuatia kula tunda.
Inaelezwa Mussa alipokutanishwa tu na Adamu alianza kumshushia lawama yakwamba kwanini alikula tunda mpaka akafukuzwa kule Eden akasababisha Wanaadamu waje kuishi mahali na sehemu zenye shida nyingi Duniani
Haya maelezo bila shaka ni ya kwako mwenyewe kwa mtizamo wako. Kama si ya kwako naomba ushahidi wa hiki ulicho kiandika.

Ulichokiandika kinashangaza sana kuzidi kushangaa kwako juu ya habari hii ? Yaani nabii amshushie lawama baba yetu Adamu ? Kwa lipi ? Hali ya kuwa baba yetu Adamu alishatubu na akasamehewa ?

Hizi habari unazipata wapi ?
Kwanini tunamlaumu Adamu na Shetani Ilhali ilikuwa ni mipango ya Mwenyezimungu?
Kina nani mna mlaumu baba yetu Adamu ? Ni wajinga pekee ndiyo humlaumu baba yetu Adamu.

Lakini kuna sehemu umeandika ya kuwa nabii Musa alimlaumu baba yetu Adamu,naomba unipe ushahidi wa hiki ulichokiandika.
 
Hata hivyo kwa nini binadamu wote tuhukumiwe kwa makosa yao ambayo hayatuhusu?
 
I have seen so many scriptures that claim that the fruit was a sexual act, but some are discredited by claiming that it is the Real Fruit.
Inserting a penis into a woman's vagina is in itself is not sin. Tatizo linakuja kibali ulichonacho kufanya tendo hilo, nadhani hii ni kwa dini zote. Hiyo ina cancel hiyo dhana. Ukioa na hufanyi inakuwa tatizo.

Mi naamini Mwenyezi Mungu angeweza kuja na plan nyingine ya kuongeza uzao.
 
Hakuna jambo lolote lililoandikwa katika Vitabu vya dini ambalo liliwahi kutokea kweli, hizo zote ni hadithi za kufikirika tu.
NB. Mi ni mkristo nliyefungua minyororo ya utumwa kichwani
 
Hakuna jambo lolote lililoandikwa katika Vitabu vya dini ambalo liliwahi kutokea kweli, hizo zote ni hadithi za kufikirika tu.
NB. Mi ni mkristo nliyefungua minyororo ya utumwa kichwani
Basi wewe sio mkristo

Hata mi nashindwa kuelewa Yona alitokaje kwenye tumbo la nyangumi, na dunia ilijaa maji kivipi wakati wa Nuhu,
N.k

Ila naamini Yesu aliishi hapa duniani.

Wewe sasa hivi usijiite mkristo tafuta jina jingine kutambulisha imani yako
 
Back
Top Bottom