Tumpe Faraja Rais Samia kwa namna anavyofanya kazi bila kupumzika wala kukaa kwa ajili yetu Watanzania

Jifunzeni kwa Hakainde Hichilema
 
Faraja ya nini kwani halipwi? Kama ni faraja wapewe walimu, manesi, madaktari, waandisi etc ambao wanafanya kazi kwa mishahara ambayo haikidhi hata mahitaji yao ya kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…