Tumpe Muda Rais Samia, ni Mapema sana kulaumu au kupiga makofi

Tumpe Muda Rais Samia, ni Mapema sana kulaumu au kupiga makofi

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Muda siku zote ni msemaji na ni shahidi mzuri sana ,Mara zote husema ukweli hivyo tusubiri mpaka 2025 ndio tufanye majumuisho.

Tunakosoa sana na kupongeza sana lakini ni Mwaka na kidogo tu Mama yuko madarakani.

Mama anasafiri kila wakati, nchi tunakopa pesa ,anakusanya Tozo ,anatafuta maeneo ya uwekezaji kwa namna yoyote ile ,anafanya kila namna kuhakikisha anatimiza mipango na kuleta Maendeleo.

Kwa kifupi tupunguze kosoa kosoa na kupongeza sana maana bado mapema. Tuache watu wafanye kazi na tusisahau siasa ni siasa tu hivyo tufanye kazi.
 
Nchi ina umri wa miaka 60

Bado tu tunafanya majaribio.

Yaani kama ni binadamu ndio kafikia umri wa kustaafu lakini bado hajajua anatakiwa kufanya nini.

Inasikitisha mno hali ya Taifa letu.
 
Nchi ina umri wa miaka 60

Bado tu tunafanya majaribio.

Yaani kama ni binadamu ndio kafikia umri wa kustaafu lakini bado hajajua anatakiwa kufanya nini.

Inasikitisha mno hali ya Taifa letu.
Uko sawa
 
Muda siku zote ni msemaji na ni shahidi mzuri sana ,Mara zote husema ukweli hivyo tusubiri mpaka 2025 ndio tufanye majumuisho...
Kulaumu kwa lipi hasa?

Kumpongeza ni Sasa maana matunda yanaonekana na Nchi imerudi kwenye mstari sasa..
 
Back
Top Bottom