Kwa taarifa yako Simba haijawahi kufukuza kocha kwa zaidi ya misimu 5 kwa kuzingatia matokeo ya Ligi bali huzingatia zaidi michuano ya KimataifaHabari Wana JF
Kama title inavyojieleza hapo, kutokana na ugumu wa NBC league ilivyo Kwa makocha wengi especially wa Simba kushindwa kutoboa/ kupata mafanikio kama inavyotarajiwa.
Binafsi kocha wa Simba Nampa miezi miwili tu [emoji1] [emoji1] Baada ya hapo atafukuzwa
Je! una mpa siku ngapi za kocha wa Simba Kufukuzwa
Na atahukumiwa kwa hiyo. Lengo ni kufika nusu fainali ya CAFCL kinyume na hapo awe ameshapaki mabegi yake tu.Michuano ya kimataifa soon itaanza..
Hatma ya kocha mpya wa Simba IPO mikononi mwa Fiston Kalala Mayele na Stephano Aziz Ki kwenye kariakoo Derby.Habari Wana JF
Kama title inavyojieleza hapo, kutokana na ugumu wa NBC league ilivyo Kwa makocha wengi especially wa Simba kushindwa kutoboa/ kupata mafanikio kama inavyotarajiwa.
Binafsi kocha wa Simba Nampa miezi miwili tu [emoji1] [emoji1] Baada ya hapo atafukuzwa
Je! una mpa siku ngapi za kocha wa Simba Kufukuzwa
Zoran hakufukuzwa. Alipata timu yenye maslahi zaidi akaomba kuondokaMbna zoran hakupewa muda mechi za kimataifa...
Yule ni mvivu aliona aache timu inayoshiriki klabu bingwa akafundishe timu ya daraja la kati. Aliona kwa uwezo wake hawezi kutimiza masharti ya mkataba wa Simba hata chembe.Baada ya kuona mnampa pressure kubwa
Atakula club bingwa ndugu yangu,? Alipata sehem yenye ugali mkubwa.Yule ni mvivu aliona aache timu inayoshiriki klabu bingwa akafundishe timu ya daraja la kati. Aliona kwa uwezo wake hawezi kutimiza masharti ya mkataba wa Simba hata chembe.
Kwa aina ya timu aliyokubali kuifundisha; akitoboa huu mwaka wa 2023, ashukuru.Kocha wa mpira....View attachment 2469564