Tumpe siku ngapi za kufukuzwa kocha mpya wa Simba

Tumpe siku ngapi za kufukuzwa kocha mpya wa Simba

Atakula club bingwa ndugu yangu,? Alipata sehem yenye ugali mkubwa.
Fuatilia vyema mazungumzo uelewe. Jamaa aliuzliza kwanini Zoran alitimuliwa ndio nikawa namueleza hakufukuzwa ila alipata timu yenye maslahi zaidi.
 
Yule ni mvivu aliona aache timu inayoshiriki klabu bingwa akafundishe timu ya daraja la kati. Aliona kwa uwezo wake hawezi kutimiza masharti ya mkataba wa Simba hata chembe.
Teh teh .....aliwaletea na mzungu
 
Kwa aina ya timu aliyokubali kuifundisha; akitoboa huu mwaka wa 2023, ashukuru.

This is January! Akifika Disemba, atakuwa amevumilia mengi sana. Labda ashinikize kuwa na benchi lake la ufundi, halafu watu kama akina Matola wakatafute changamoto sehemu nyingine.
Kabisa mkuu....na kile kikosi Cha wazee...sujui itakuaje
 
Habari Wana JF

Kama title inavyojieleza hapo, kutokana na ugumu wa NBC league ilivyo Kwa makocha wengi especially wa Simba kushindwa kutoboa/ kupata mafanikio kama inavyotarajiwa.

Binafsi kocha wa Simba Nampa miezi miwili tu [emoji1] [emoji1] Baada ya hapo atafukuzwa

Je! una mpa siku ngapi za kocha wa Simba Kufukuzwa
Tarehe 9/4/2023 anabebeshwa virago vyako Niko paleee nimetulia
 
Tumeingia mkenge kwa huyu kocha, afadhali Mgunda angeacgwa amalizie msimu wa ligi.

Huyu ataleta msururu wa majina ya wachezaji anaowataka na asipopatiwa timu ikafanya vibaya atajitetea nilihitaji hawa wachezaji hamkunipatia.

Kumbe kocha mwenyewe kafundisha mpaka Gor Mahia!
 
Back
Top Bottom