Kama mkataba wake unavyosema ikiwezekana ataongeza kabisaHapana mkuu.... let's stick on topic/ ....unampa mda Gani kocha wa simba
Fuatilia vyema mazungumzo uelewe. Jamaa aliuzliza kwanini Zoran alitimuliwa ndio nikawa namueleza hakufukuzwa ila alipata timu yenye maslahi zaidi.Atakula club bingwa ndugu yangu,? Alipata sehem yenye ugali mkubwa.
Alikuwa dalali yuleTeh teh .....aliwaletea na mzungu
Kabisa mkuu....na kile kikosi Cha wazee...sujui itakuajeKwa aina ya timu aliyokubali kuifundisha; akitoboa huu mwaka wa 2023, ashukuru.
This is January! Akifika Disemba, atakuwa amevumilia mengi sana. Labda ashinikize kuwa na benchi lake la ufundi, halafu watu kama akina Matola wakatafute changamoto sehemu nyingine.
Tarehe 9/4/2023 anabebeshwa virago vyako Niko paleee nimetuliaHabari Wana JF
Kama title inavyojieleza hapo, kutokana na ugumu wa NBC league ilivyo Kwa makocha wengi especially wa Simba kushindwa kutoboa/ kupata mafanikio kama inavyotarajiwa.
Binafsi kocha wa Simba Nampa miezi miwili tu [emoji1] [emoji1] Baada ya hapo atafukuzwa
Je! una mpa siku ngapi za kocha wa Simba Kufukuzwa