Amalrik TZ
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 341
- 303
- Thread starter
-
- #21
Amen!Mungu wa Mbinguni Nakuomba Tundu Lissu atawale Hii nchi.
Amen!
Nani anamuhitajii huyo?
Labda huko nyumbani kwenu
Watanzania 99% wanamuhitaji John Pombe Joseph MagufuliNani anamuhitajii huyo?
Labda huko nyumbani kwenu
Ameshindwa kuongoza nchi kwa sheria, haki na usawa. Watanzania tumeteseka sana kwa miaka yake mitano ya kwanza, sasa basi kesho twendeni tukapige kura ya kukataa dhuluma na uongozi wa kibabe katika nchi yetu.Nadhani wakati tunaboresha maendeleo ya nchi yetu pia kuna haja ya kuboresha sheria za nchi
[emoji870]tena kwa John Pombe Joseph Magufuli [emoji106]
Wewe ni ZOMBIE.Sio nan anamuhitaji, magufuli ndo raisi wako, uandike novel uandamane yote taarifa ndo hio, expect 80%
Nadhani wewe ndiye unayemuhitaji acha sanduku la kura hiyo kesho liongoeWatanzania 99% wanamuhitaji John Pombe Joseph Magufuli
Wazazi walizaa hasaraWatanzania 99% wanamuhitaji John Pombe Joseph Magufuli
Chagua Tundu LissuHuyo Freemason wa Ubelgiji na pia ni shoga hapati kitu Tanzania hayo mambo wakayafanye huko kwao Ubelgiji Hatutaki na Mungu hapendi na kama wewe ni kijana wa Tanzania fanya kazi sio kukaa kwenye keyboard unabadilisha ID na ukadhani maisha yapo rahisi hivyo. FANYA KAZI NA ASIYEFANYA KAZI NA ASILE.
Wewe ni ZOMBIE.
Nimekupuuza.
Hata kwao awamtaki amewajengea uwanja badala ya maji,thus wanalazimisha kupita bila kupingwaNani anamuhitajii huyo?
Labda huko nyumbani kwenu
Hata akipewa miaka 30 hawezi maliza.Kuna jamaa hapa anasema mnaonaje tulipe hii miaka mitano limazie miundo mbinu yake ili 2021.NISAIDIENI NIMJIBUJE?
Nafasi pekee ni kesho zaidi ya hapo tumekwiishaa atohitaji Tena kura zetu,pili akutegemea Lisu angekuwa hai, thus alijihakikishia kupita bila kupingwaHaki hii ni yetu sote na kwapamoja tuikoe nchi yetu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Akapumzike kwa kweli.Hata kwao awamtaki amewajengea uwanja badala ya maji,thus wanalazimisha kupita bila kupingwa
Ameshindwa kuongoza nchi kwa sheria, haki na usawa. Watanzania tumeteseka sana kwa miaka yake mitano ya kwanza, sasa basi kesho twendeni tukapige kura ya kukataa dhuluma na uongozi wa kibabe katika nchi yetu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Umesema sawa Amalrik TZ 🙏Nadhani wewe ndiye unayemuhitaji acha sanduku la kura hiyo kesho liongoe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hapana.Wazazi walizaa hasara