Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naskia Marekani anafanya yake muda huu. Tamko rasmi la uchunguzi dhidi ya Magufuli, Mabeyo, Diwani na Sirro kwa mauaji na utesaji wa watu Zanzibar na Tanzania linatoka muda si mrefu.Kaka arudi mara mbili??? yaani hapa ni achague kugoma au kwenda kwa hiari.
Ndiyo nakwambia hawa watu wanajitakia makuu, huu uchaguzi si wa kuchezea kabisa.Naskia Marekani anafanya yake muda huu. Tamko rasmi la uchunguzi dhidi ya Magufuli, Mabeyo, Diwani na Sirro kwa mauaji na utesaji wa watu Zanzibar na Tanzania linatoka muda si mrefu.
Wakilazimisha mwaka huu ni ICC tu na ushahidi upo wa kutosha.
Atohitaji Tena kura zetu atatumaliza atatushughulikia kweli kweli atofanya chochote kuhusu alivyohaidi maana hatoitaji kura zetu tena.Akapumzike kwa kweli.
Inatakiwa wakapumzike kwa kweli ili tupumuendiyo nakwambia hawa watu wanajitakia makuu, huu uchaguzi si wa kuchezea kabisa.
Mmemundalia makazi hukoHahaha magufuli ndo president we uko dunia gan
Jamaa hapendi Haki, Uhuru na Maendeleo!Kuna jamaa hapa anasema mnaonaje tulipe hii miaka mitano limazie miundo mbinu yake ili 2021.NISAIDIENI NIMJIBUJE?
Na ukweli ni pale tunapoacha kura iongoe na kutupa viongozi wananchi wanaowatakaUkweli hauwezi kuupuza lazima uishi nao
Tunataka viongozi wanaoangalia maslahi ya watu wote na sio wachacheHata kwao awamtaki amewajengea uwanja badala ya maji,thus wanalazimisha kupita bila kupingwa
Tunashukuru kwa aliyoyafanya lakini sasa ni zamu ya mwingine kutawala nchi.Hata akipewa miaka 30 hawezi maliza.
Hio 5 atatumia kigezo Cha kutokamilka kujiongezea mda,vipi pia ikifika hio 2025 akaanzisha miradi mingine mikubwa mfano kupeleka bahari ya hindi kwao si atatumia vigezo hizo kuendelea kudumu madarakani