Uchaguzi 2020 Tumrudishe Magufuli Chato

Kweli mwananchi mwenzangu, sasa inabidi tusimamie haki kwa nguvu zetu zote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu asante sana kwa elimu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa Tume ipi? Hii inayoengua na kupiga red card wagombea wa vyama vingine isipokuwa cha CCM!! Kwa polisi wanaomtamkia HADHARANI mwenyekiti wa chama cha mageuzi chenye nguvu zaidi ya vyote, kuwa hatoshinda!!!
Wananchi tusimame kidete kusimamia haki zetu za msingi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Asante Magu tutakukumbuka kwa mazuri na mabaya uliyotutendea kikubwa tu jiandae kukubali matokeo ni hayo tu kwa leo.
 
Magufuli ni janga la taifa! Hafai kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…