SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Naunga mkono hojaHaijarishi, mtu yeyote anayeleta ujinga ataambiwa, siungi mtu mkono kwa kanuni ya kwamba tupo team moja.
Ndio maana msimamo wangu uko wazi hatumuhitaji Manara Yanga, GSM wachukuwe hii takataka yao wakaipe ajira huko GSM.
Au TFF wamfungie maisha, huyu ni kirusi kibaya kwenye mpira.
Siwezi kuwa utopolo na wala sihitaji support yoyote ya kijingaHaijarishi, mtu yeyote anayeleta ujinga ataambiwa, siungi mtu mkono kwa kanuni ya kwamba tupo team moja.
Ndio maana msimamo wangu uko wazi hatumuhitaji Manara Yanga, GSM wachukuwe hii takataka yao wakaipe ajira huko GSM.
Au TFF wamfungie maisha, huyu ni kirusi kibaya kwenye mpira.
Tusapotiane wana lunyasi arudi simbaNaunga mkono hoja
Hizi ni aibu tu ndizo zinazowasumbua . Morison mlipelekana naye hadi CAS . Cha ajabu baada ya kumaliza mkataba wake simba mkamshobokea . Bahati mbaya akamdharirisha rais wenu mbele ya Rais pale Ikulu.Ni muda sahihi kwa sisi Simba kumrudisha Morrison (toto tundu) Msimbazi. Morrison ni toto tundu lakini kipaji kipo, anaweza kutusaidia sana pale mbele akiwa na Saido na Chama.
Chondechonde viongozi na benchi la ufundi, mtusaidie hapa Morrison arudi nyumbani.
Simba Nguvu Moya
Huu ni uongo.Wako Morrison wengi tu, its a matter of scouting
Simba hakuna vilazaTusapotiane wana lunyasi arudi simba