Tumsaidie Amunike kupanga kikosi cha Taifa Starts kwa ajili ya AFCON.

Tumsaidie Amunike kupanga kikosi cha Taifa Starts kwa ajili ya AFCON.

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kwa wale wanao wajua wachezaji wazuri Watanzania, tihisikiane kuwatambua.

Hawa hawawezi kukosekana

1. Samata
2. Musuva
3. Kelvin John ( u17)
4. Dickson Job ( captain u20)
5. Bocco
6.
7.
8.
 
Dickso Job alitakiwa sana apo aongeze uzoefu apate na nasaa za kaka yake Kelvin.....

Namwamin muda wake utafika tu.
 
Dickso Job alitakiwa sana apo aongeze uzoefu apate na nasaa za kaka yake Kelvin.....

Namwamin muda wake utafika tu.
Dickaon ni beki mzuri sana na kiongozi. Na mfananisha ni Song, au Puyol
 
Kwa wenye vision tupeleke Watoto wa under 20 na 17,wachomekewe na key players wachache maeneo tofauti tofauti

Au Tupeleke Senior players 13 tu na 10 vijana tupu
 
Kwa wenye vision tupeleke Watoto wa under 20 na 17,wachomekewe na key players wachache maeneo tofauti tofauti

Au Tupeleke Senior players 13 tu na 10 vijana tupu
Naunga mkono hoja.. kama Ajax vile..
 
Apange apangavyo lakini utatu wa ushambuliaji uhusishe Samatta-Bocco-Msuva
 
2. Kessy

3. Gadiel

4.Nyoni

5. Yondani

6.Mkami

7.Msuva

8. Fei toto

9. Chilunda

10. Samatta

11. Ulimwengu

Kikosi cha kwanza.
 
Mm sio simba ila uwepo wa mohamed hussein zimbwe Junior na Jonas mkude pamoja na Mzee wa makorokoro ibraim ajibu niushindi tosha ata tukifungwa mechi zote.
 
Yule Boxer kwa nini huwa hachaguliwi anateuliwa majeruhi Ka-alcohol?
 
Kwa wale wanao wajua wachezaji wazuri Watanzania, tihisikiane kuwatambua.

Hawa hawawezi kukosekana

1. Samata
2. Musuva
3. Kelvin John ( u17)
4. Dickson Job ( captain u20)
5. Bocco
6.
7.
8.
Dickson na huyo kelvin ni upuuzi. Dogo wa simba Rashid ndio angalau alistahili, ana experience!
 
Back
Top Bottom