professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 350
Hiyo sio four ya 30 ni ya 29 kozi za Veta zina muhusi na za baadhi ya za afya.Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.
Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F
Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Nashauri akasome certificate ya record Managementau socialogy kwa kulingana na matokeo yake au anaweza kwenda kusimea certificate ya masomo ya biashara kwakuwa ana anza na certificate basi akimaliza baada ya mwaka anaunga Diploma yake maisha yanarndelea!Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.
Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F
Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Naunga mkono hojaNashauri akasome certificate ya record Managementau socialogy kwa kulingana na matokeo yake au anaweza kwenda kusimea certificate ya masomo ya biashara kwakuwa ana anza na certificate basi akimaliza baada ya mwaka anaunga Diploma yake maisha yanarndelea!
Atakuja kutuua bahna asisome afya asome mengineyoHiyo sio four ya 30 ni ya 29 kozi za Veta zina muhusi na za baadhi ya za afya.
Atakuuaje wakati atafanya kazi mortuary?Atakuja kutuua bahna asisome afya asome mengineyo
Certificate phamacyWakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.
Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F
Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Nilijua tuu lazima ni kilazaWakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.
Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F
Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
[emoji23][emoji1787][emoji16]Atakuja kutuua bahna asisome afya asome mengineyo
Sekta ya Afya inamfaa zaidi kuliko eneo jingine lolote,Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka
Huyu binti kapata Division Four ya 30.
Civics D
Kiswahili D
History D
Geography D
Biology C
Masomo mengine kapata F
Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
Mungu akubarik sanaSekta ya Afya inamfaa zaidi kuliko eneo jingine lolote,
hatojuta wala hutapata hasara wewe unaemsomesha....
huyo mbona ni nurse kabisa na baadae daktari aise.....
Asichelewe sasa kuanza masomo...
Namuombea Baraka na Neema za Mwenyezi Mungu katika Masomo yake...
Sawaaa asanteh Kwa ushauri wako, Mungu akubarikMtafutie bar ya mbali kidogo awe muhudumu, tuanze kummega Kwa dasi.