Tumsaidie huyu binti kwa ushauri kulingana na matokeo yake kidato cha nne

Hapo bado anaoption ya kusoma vitu vingi kama una uwezo anaanza certificate mwaka mmoja, diploma 2 anaenda chuo kama kawaida. Atapishana kidogo tu na wale walionda five na six. Ina maana english kapata F aliwezaje kujibu CIVICS, gEOGRAPHY na History?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…