Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
mpwayungu village atosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia asome ujumbe huu na akisikiliza ushauri huu atakuwa ameokoa wananchi na wizara ya madiniWell said. Shukuru Manya would be the best placement.
Huyu wa sasa, ni wale wale, tena kwa kiwango cha kutisha.
Hizi taarifa kumbe na wewe unazo~ 🤣Majina yanatoka msoga na si pengine. Ni marufuku kutoa jina iwe udc, ukurugenzi au uaRC nje ya msoga. Ipo hivyo
🔛Elimu na ufundi - ndugu kishimba
🔛 Uchumi fedha - ndugu kimei
🔛Ardhi nyumba makazi - ndugu lukuvi
🔛Chakula mifugo ndugu mpina
🔛Ajira Sera mipango ndugu jafo
🔛 Bunge utawala bora ndugu A kairuki
🔛Maji na mifugo ndugu Waitara
🔛Madini na Biashara ndugu Biteko
🔛Nishati Teknologia ndugu kalemani
🔛Habari Sanaa michezo ndugu katambi
🔛Afya maendeleo jamii ndugu mwalimu
🔛Sheria na katiba ndugu mdee
🔛Mambo ya nje ndugu mulamula
🔛Mambo ya ndani ndugu simbachawene
NOTE: Bunge hili wabunge waliopo sio wachapakazi wala hawana uwezo wa kujenga hoja na kumshawishi mwananchi na serikali kipi kiwe na kipi kisiwe Ila hao at least wanaweza sogeza kitu mahali.
Pia nakuomba Rais niteuwe Mimi kuwa mjumbe wa Biashara za ndani na nje ya mipaka naamini nitakuletea pesa za kigeni nyingi ndani ya miezi sita ya kwanza utaona kitu.
Kama hutojali nipe nafasi niongoze shirika la nyumba la Taifa na tulete Imani ya makazi kwa watanzania wa kipato Cha chini na Kati waweze kununua nyumba hzo sio sasa matajir tuu ndio wanufaika.
Nipe nafasi nikuwakilishe kwenye moja ya shirika (NSSF, Atcl, TTCL, NHIF& Namengineyo)ambalo unaona haliendi vizuri nipe hyo nafasi Mambo yatakaa sawa ndani ya muda mfupi.
Moja Kati ya nafasi utakayonipa nitahakikisha tutapata matokeo chanya Mimi pamoja na watendaji ambao nitawakuta au utatuongezea kwa maslai ya Taifa la Tanzania.
naomba uweke historia kuwa unajali wanachi wa Hali zote basi niteuwe niwawakilishe vijana fresh from JF hapo utajua kuwa kumbe Taifa hili lina watu wazalendo wachapakazi rejea komenti na post zangu hapa JF.
Kairuki amekuwa mzigo.❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Eti Mulamula, Angela Kairuki, Kalemani, Kishimba, Waitara, Kimei, Mpina, hawa hawafai kabisa. You are joking, stop kidding..
Mama Samia so far ameshauriwa vibaya kumrudisha Angela Kairuki, sbb sio mtendaji kabisa, soon i believe atampiga chini, kama huamini, next year CAG report subiria uone..
Hiyo list ulio taja nimerudia hapo, naona umelala ww hujui kwanini Mh. Rais kawaweka kando, sbb hawafai kabisa, ww it seems hujui vitu kwa undani, uko kusoma mitandaoni na magazeti tu, ila hujui watu kiundani, kumpa mtu position kama ya Uwaziri kwa 100% lazima umjue vema, ww huwajui kabisa.
Hapo umelalamika hujatoa solution wewe pendekeza Nani anafaa akae wap.❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Eti Mulamula, Angela Kairuki, Kalemani, Kishimba, Waitara, Kimei, Mpina, hawa hawafai kabisa. You are joking, stop kidding..
Mama Samia so far ameshauriwa vibaya kumrudisha Angela Kairuki, sbb sio mtendaji kabisa, soon i believe atampiga chini, kama huamini, next year CAG report subiria uone..
Hiyo list ulio taja nimerudia hapo, naona umelala ww hujui kwanini Mh. Rais kawaweka kando, sbb hawafai kabisa, ww it seems hujui vitu kwa undani, uko kusoma mitandaoni na magazeti tu, ila hujui watu kiundani, kumpa mtu position kama ya Uwaziri kwa 100% lazima umjue vema, ww huwajui kabisa.
Tamisemi anatakiwa mtu mfatiliaji na muwajibishaji,kama mama anataka matokeo ampe bashiru amsaidie hiyo wizaraKairuki amekuwa mzigo.
Kila wakati anamkumbuka muwe aliyeko china , akili yake haijatulia.
Ameacha wakurugenzi wa Halmashauri wanakula fedha kuliko mchwa
Wewe choko hivi hizi shobo unazoleta kwangu ni kwamba unanipenda sana au? Mimi najisikia kichefuchefu sana hata nikiona tu comment yako, mwili mzima unanuka nnyaWee hufai kuwa DC, familia imekushinda sasa unaongoza vipi wana nchi wa kibaha??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wakutoe tyuuh
Acha zako paskoNingetamani wizara ya nape wampe pasco Mayalla angetufaa sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nick hebu tulia hukoo. KhaaahWewe choko hivi hizi shobo unazoleta kwangu ni kwamba unanipenda sana au? Mimi najisikia kichefuchefu sana hata nikiona tu comment yako, mwili mzima unanuka nnya
[emoji23][emoji23][emoji23] dahhNilitarajia mke wa JPM apewe ubunge kama JPM alivyompatia Salima kikwete ubunge wa bure.
Mimi pasko tena?Acha zako pasko
Aaah wapi. Alitumia jina la Masele wa Voda Shinyanga kupata ubunge, nikamdharau tokea hapoSTEPHEN MASELE
huyu ni kijana, msomi, uzoefu, misimamo, ana exposure ya uongozi.
Akili zetu hazijashikiliwa chini ya godoro kama mpumbavu weweMajina yanatoka msoga na si pengine. Ni marufuku kutoa jina iwe udc, ukurugenzi au uaRC nje ya msoga. Ipo hivyo
Jumaa Aweso ni miongoni mwa mawaziri mizigo.
Dr.Nchimbi na Wiliam Lukuvi wamemuudhi nini mama mpaka anacha hizi chapakazi badala yake anateuwa mawaziri dhaifu wasio wachapakazi?
[/Q
Mzigo wa mavi usipomshinda mtu kwa uzito basi harufu itakua kero hivyo lazima uutupe.
Nisuala la mudatu. Mama ataibwaga mizigo
Drs la saba?.Kishimba wasimsahau elimu,jembe sana yule. Faza