Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kazi ya kifala fanya mwenyewe....ushauri wa kipumbavu sana.Tumesikia madudu ya kutisha, kama yalivyobainishwa na CAG, namna watanzania wenzetu, wasio na uzalendo hata kidogo, namna wanavyotafuna fedha zetu za Umma bila woga, Kwa kutuibia mabilioni ya pesa.
Hivi Hawa watumishi wachache wa Umma, wanatuona watanzania wote kuwa ni wajinga?
Hivi hizi Kodi zote na matozo mbalimbali, tunayokatwa watanzania masikini, kumbe zinawafaidisha watu wachache, ambao wao kazi yao ni Moja tu, kufanya "dili" ya kutuibia?
Ndiyo maana ninasema ni wajibu wa Kiila mtanzania mzalendo, Kwa hivi Sasa, kumsaidia Rais wetu Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonsha dhamira njema, Kwa nchi hii, tuizomee bila kuchoka, hii mijizi ya fedha ya Umma, Hadi hapo watakapoona aibu na kuiacha hii tabia mbaya ya wizu, ambayo inaelekea italiangamiza kabisa Taifa letu[emoji41]
SIO KUWAZOMEA WEZI HUKAMATWA NA KUFIKUSHWA MAHAKAMANI TUNACHOTAKIWA ni Kumtaka RAIS AWAKAMATE NA KUWAFIKISHA MAHAKAMANITumesikia madudu ya kutisha, kama yalivyobainishwa na CAG, namna watanzania wenzetu, wasio na uzalendo hata kidogo, namna wanavyotafuna fedha zetu za Umma bila woga, Kwa kutuibia mabilioni ya pesa.
Hivi Hawa watumishi wachache wa Umma, wanatuona watanzania wote kuwa ni wajinga?
Hivi hizi Kodi zote na matozo mbalimbali, tunayokatwa watanzania masikini, kumbe zinawafaidisha watu wachache, ambao wao kazi yao ni Moja tu, kufanya "dili" ya kutuibia?
Ndiyo maana ninasema ni wajibu wa Kiila mtanzania mzalendo, Kwa hivi Sasa, kumsaidia Rais wetu Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonsha dhamira njema, Kwa nchi hii, tuizomee bila kuchoka, hii mijizi ya fedha ya Umma, Hadi hapo watakapoona aibu na kuiacha hii tabia mbaya ya wizu, ambayo inaelekea italiangamiza kabisa Taifa letu[emoji41]
ww hujielewe mtu kaiba mali ya uma tumzomee ili iweje wakat anatakiwa achukuliwe hatua kali iwe funzo kwa wengneTumesikia madudu ya kutisha, kama yalivyobainishwa na CAG, namna watanzania wenzetu, wasio na uzalendo hata kidogo, namna wanavyotafuna fedha zetu za Umma bila woga, Kwa kutuibia mabilioni ya pesa.
Hivi Hawa watumishi wachache wa Umma, wanatuona watanzania wote kuwa ni wajinga?
Hivi hizi Kodi zote na matozo mbalimbali, tunayokatwa watanzania masikini, kumbe zinawafaidisha watu wachache, ambao wao kazi yao ni Moja tu, kufanya "dili" ya kutuibia?
Ndiyo maana ninasema ni wajibu wa Kiila mtanzania mzalendo, Kwa hivi Sasa, kumsaidia Rais wetu Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonsha dhamira njema, Kwa nchi hii, tuizomee bila kuchoka, hii mijizi ya fedha ya Umma, Hadi hapo watakapoona aibu na kuiacha hii tabia mbaya ya wizu, ambayo inaelekea italiangamiza kabisa Taifa letu😎
Kwanza hata hiyo stupid wengine hawajui ni nini?Umechoka sana. Wazomewe? Au washikwe na kufungwa? Ati Rais mwenye nia njema! Ukiona wanaiba kweupe kiasi hiki ujuwe hata wee Rais ni dhaifu. At stupid, nani kaliwa? Wewe ndiyo stupid maana umeliwa na umeishia kukoroma ati stupid! Tenda kama una uwezo