Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)


Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.

Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.

chagua yafuatao

a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...

au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.

Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa


View attachment 1469548

Kweli kabisa Tanzania nzima huyu Mchomvu ni mkali ana Kila sifa hadi kuimba anaweza daah. Hata Milard mdogo sanaa kwa huyu
 
Jamaa yupo talented lakini bange nyingi..hawezi pewa kipindi aongoze yeye,kwanza atajipigia hiphop tupu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alaf wabana pua
Mizik yenu ataibana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nakweli jamaa wanamchukulia poa wakati ndio master mind wao hasa kww fiesta
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)


Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.

Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.

chagua yafuatao

a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...

au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.

Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa


View attachment 1469548
 
hahahaha ushauri wenu umechelewa au kuwahi kidogo,ilishaamuliwa Adam ndo atakuwa host wa xxl kuchukua nafasi b12,kuanzia next week
 
Ndoto yako siyo kama ya Adam Mchomvu.

Hivyo Adam Ni Adam na Wewe ni Wewe.

Pili, Uhuru ni kila kitu ( Clouds kuna uhuru sana ).

Kama anatangaza dakika 30 na mshahara wake ni zaidi ya Laki 8 kuna tatizo gani hapo !

( Hilo tu linaonesha naoa gani alivyo Gwiji, Kuuza Sauti Yako Kwa Dakika 30 Tu ).

Hata Gardner ana anatangaza masaa 4 lakini anakula parefu.

Sasa Kama Unadhani Kurundikiwa Mzigo Wa Majukumu Ndio Mafanikio, Utakuwa Mjinga.

Tatu, Kuhusu Uongozi, Siyo Kila Mtu ANAPENDA KUWA KIONGOZI Kama Magufuli Hata Kama Hawawezi.
Kuna Watu Wanapenda Kuwa Huru V Na Maisha Yao, So Relax.

Mwisho Kuhusu Muziki, Nadhani Adam Anajifuraha Tu Kwa Kuwa Ni Kitu Anachopenda, Sidhani Kama Ndio Jnakazaaa Kwamba Akitoa Ngoma Ikibuma Anakoswa Pesa Ya Kodi.
 
Adam ni Arachuga og, ni zile damu za Hiphop ambazo hata ufanyaje huwezi kuzibadili. Tatizo ni bado hajapata wa kujua jinsi ya kumtumia huko kwenye Hiphop. Yule alipaswa apewe uwanda mpana kuwakilisha hiphop pale CMG
 
Pj na hando walishaaga kumbe
Pale kuna [emoji117]Masoud Kipanya
[emoji117]Cza
[emoji117]Babra

Alafu kuna [emoji117]Bonge, yeye huripoti kutokea mtaani,, mida yake kama saa mbili kasoro ivi

[emoji117]Sam msasal, yeye huja kusoma habari za magazeti,, ila ni mbunifu sanaa,,

Mm napenda kuskiliza kuanzia saa mbili maana nakutana na habari za magazeti,, pale kuna maswali wanaulizana ambayo yanafikirisha sana,

Vipindi vinavonivutia ni
1,Power breakfast
2,Sport Xtra - sie wapenda michezo baada ya harakati za hapa na pale basi usiku tunashushia na michezo




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom