Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Adamu ni mtangazaji mzuri wa kariba yake....anapenda sana utani na masikhara......komedian na mropokaji
Sio kweli kama yupo underrated pala CMG
Adamu alimkuta B12 XXl so ilikua ni sahihi tu kuendelea kua chini ya B12
Akapewa kipindi chake cha Bongo Fleva alikiongoza hadi pale yeye mwenyewe alipoomba apewe kipindi maalamu cha Hip Hop kwakuwa aliona kama Hip Hop haipati platform kama wabana pua
Ndio akapewa So So Fresh na Bongo Fleva akapewa Kennedy
Ndio maana kule So So Fresh ni mwendo wa Hip Hop mwanzo mwisho
Kwa muktadha huu Adamu anakipindi chake kama anchor kama walivyo Kennedy na Bongo Fleva, Mumy Baby na Top twenty
Na kutokuwa anchor wa kipindi hakukufanyi wewe kuwa underrated. Marehemu Kibonde, Kipanya, Gadner, Mussa nk ni watangazaji wakubwa lakini hawana vipindi vyao wanaongoza
Kumbuka bwana mdogo George Bantu ndio anchor wa jahazi na alikua naongoza wakongwe kibonde na gadner
Kuhusu Adamu kuacha muziki sioni mantiki yake
Yeye mwenye anasema anafanya Hip Hop kama hobby yake na sio kazi yake
Kuhusu Fiesta Adamu ana play party kubwa sana, licha ya kuwa Mc kwenye matamasha, Adamu ndio chief judge wa super nyota wa Fiesta mikoa yote inapofanyika fiesta
Kwa kupitia uzoefu CMG wanaweza wasiwe ndio Media house wanalipa vizuri Tz lakini ukweli ndio Media hause yenye fursa nyingi sana wa watangazaji wake kuliko media yeyote
Wengi waliondoka lakini mwisho wasiku walirudi wenyewe mjengoni
Sio kweli kama yupo underrated pala CMG
Adamu alimkuta B12 XXl so ilikua ni sahihi tu kuendelea kua chini ya B12
Akapewa kipindi chake cha Bongo Fleva alikiongoza hadi pale yeye mwenyewe alipoomba apewe kipindi maalamu cha Hip Hop kwakuwa aliona kama Hip Hop haipati platform kama wabana pua
Ndio akapewa So So Fresh na Bongo Fleva akapewa Kennedy
Ndio maana kule So So Fresh ni mwendo wa Hip Hop mwanzo mwisho
Kwa muktadha huu Adamu anakipindi chake kama anchor kama walivyo Kennedy na Bongo Fleva, Mumy Baby na Top twenty
Na kutokuwa anchor wa kipindi hakukufanyi wewe kuwa underrated. Marehemu Kibonde, Kipanya, Gadner, Mussa nk ni watangazaji wakubwa lakini hawana vipindi vyao wanaongoza
Kumbuka bwana mdogo George Bantu ndio anchor wa jahazi na alikua naongoza wakongwe kibonde na gadner
Kuhusu Adamu kuacha muziki sioni mantiki yake
Yeye mwenye anasema anafanya Hip Hop kama hobby yake na sio kazi yake
Kuhusu Fiesta Adamu ana play party kubwa sana, licha ya kuwa Mc kwenye matamasha, Adamu ndio chief judge wa super nyota wa Fiesta mikoa yote inapofanyika fiesta
Kwa kupitia uzoefu CMG wanaweza wasiwe ndio Media house wanalipa vizuri Tz lakini ukweli ndio Media hause yenye fursa nyingi sana wa watangazaji wake kuliko media yeyote
Wengi waliondoka lakini mwisho wasiku walirudi wenyewe mjengoni