Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

Adamu ni mtangazaji mzuri wa kariba yake....anapenda sana utani na masikhara......komedian na mropokaji

Sio kweli kama yupo underrated pala CMG
Adamu alimkuta B12 XXl so ilikua ni sahihi tu kuendelea kua chini ya B12

Akapewa kipindi chake cha Bongo Fleva alikiongoza hadi pale yeye mwenyewe alipoomba apewe kipindi maalamu cha Hip Hop kwakuwa aliona kama Hip Hop haipati platform kama wabana pua
Ndio akapewa So So Fresh na Bongo Fleva akapewa Kennedy
Ndio maana kule So So Fresh ni mwendo wa Hip Hop mwanzo mwisho

Kwa muktadha huu Adamu anakipindi chake kama anchor kama walivyo Kennedy na Bongo Fleva, Mumy Baby na Top twenty
Na kutokuwa anchor wa kipindi hakukufanyi wewe kuwa underrated. Marehemu Kibonde, Kipanya, Gadner, Mussa nk ni watangazaji wakubwa lakini hawana vipindi vyao wanaongoza
Kumbuka bwana mdogo George Bantu ndio anchor wa jahazi na alikua naongoza wakongwe kibonde na gadner

Kuhusu Adamu kuacha muziki sioni mantiki yake
Yeye mwenye anasema anafanya Hip Hop kama hobby yake na sio kazi yake

Kuhusu Fiesta Adamu ana play party kubwa sana, licha ya kuwa Mc kwenye matamasha, Adamu ndio chief judge wa super nyota wa Fiesta mikoa yote inapofanyika fiesta

Kwa kupitia uzoefu CMG wanaweza wasiwe ndio Media house wanalipa vizuri Tz lakini ukweli ndio Media hause yenye fursa nyingi sana wa watangazaji wake kuliko media yeyote
Wengi waliondoka lakini mwisho wasiku walirudi wenyewe mjengoni
 
Ni muhimu kuheshimu mtu anayepewa muda mchache na analipwa. Tambua kabisa hizo dk30 Mchomvu asipokuwepo huwa kipindi kinapwaya hata alipokuwepo B12

Mchomvu anavitu vyake na style yake ya utangazaji. Bilashaka ana watu anaowavutia

Kipindi kupewa Kennedy hiyo ilionekana tangu mwanzo maana yeye ndo alikuwa co-host wa B12

Pale wenye kazi ya kufanya ni wale madada. Mami bebi na Meena Ally. Wale bado wanakelele nyingi huenda mbeleni huko watakuwa watu wazuri lakini ni mpaka wamalize assignment

Meena mara mia angebaki zake Amplifayani kule japo aliharibu haribu ili alikuwa ameanza kuzoea. Mamii akitulia, akawa anaweka pozi kwenye maongezi yake atafanikiwa

Mchomvu akijifunza akakubali kutumia masikhara yake vizuri na akawa anayaelekeza in positive way halafu yakawa na kipimo, ni mtangazaji mzuri sana sema kuna wakati anapitiliza kama kina Gardener tu na jahazi lao, maneno maneno yanayoelekea "matusi matusi" yamekuwa mengi kitu ambacho sio kizuri sana. Ni lazima kumsoma kwanza mtu anayehojiana nae kujiridhisha kama anaweza kuvumilia masikhara au yatamuondolea mood
 
Umeongea kweli kabisa, ukisikiliza kile kipindi cha ijumaa kuanzia saa 4;30 usiku haya unayosema yote yanafanyika hapo.
Jamaa yupo talented lakini bange nyingi..hawezi pewa kipindi aongoze yeye,kwanza atajipigia hiphop tupu
 
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)


Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.

Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.

chagua yafuatao

a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...

au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.

Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa


View attachment 1469548
Kumwambia kuwa yeye ni bora zaidi ya wengine wote uliwataja hapo ni kumdanganya. Taasisi inajua watu wake zaidi ya sisi tunaosikia sauti zao tu.
 
Unamdanganya mwenzio eeeh..yaani akitoka tu hapo na R.I.P inamhusu

Nani aliwahi kutoka clouds halafu akaenda kutamba kwenye hizo redio zenu uchwara
 
Ni kweli Mkuu. Lakini kutoa ushauri mzuri hivi ni rahisi kuliko wewe mwenyewe ndiye ungekua Adam Mchomvu na utekeleze hiki hiki ulicho shauri.
..
Kutakuwa na sababu ya wao kufanya hivyo, maana huenda jamaa bila kumfunga kithibiti mwendo atapitiliza maana Adam ni kama kichaa flani japo ule ukichaa wake hata mimi naupendaga uwa yuko really.
.
Ana usela mavi wa kishamba Sana kufikiri kutukana ndio ujanja. Ruge alifanya kazi ya ziada kumshape, kumpa nafasi na kumuweka hapo ulipomkuta wewe. Lkn jamaa Hana busara za kujiongoza ukimwachia rungu ni Kama umemfungia chizi kwenye nyumba ya vioo yenye mawe ndani.
.
Kweli, mfano kipindi cha soso fresh kimeshakuwa kipindi cha hiphop full kupiga mangoma ya hihop
.
AD hataki kipindi cha XXL nauwakika kwanza AD ni mtu mwenye mambo mengine sana alafu usikute alishapewa XXL lakini alikataa hatujui kwasababu vyote tunavyo andika havina ukweli hata kwa 40% maana tunamaswali ambayo hatuna majibu ya upande wa pili kwahiyo hapa tuna hisi tu na sio kitu kingine.
.
Adam ni msela sana so akipewa kipindi akiongoze ni wazi kitakufa ndani ya miezi michache tu.
Unamkubali adam kwa sababu anakuwepo mtu kumfunga mdomo hali ikiwa tete.
Mchomvu ana kipaji cha uchekeshaji,

Ukweli mchungu lakini wanaomzunguka hawamwambii ukweli [emoji117] analazimisha mziki ila hana kipaji hicho,,

Kupewa kipindi kenedy ni sawa tu,

Huyo Meena naye anapwaya pale,

Kwa kifupi Adam abaki palepale hizo dk 30 zinamtosha,,

Akisema ahame atapotea mazima,

Hiko kipindi labda apewe fetty,
 
Ndoto yako siyo kama ya Adam Mchomvu.

Hivyo Adam Ni Adam na Wewe ni Wewe.

Pili, Uhuru ni kila kitu ( Clouds kuna uhuru sana ).

Kama anatangaza dakika 30 na mshahara wake ni zaidi ya Laki 8 kuna tatizo gani hapo !

( Hilo tu linaonesha naoa gani alivyo Gwiji, Kuuza Sauti Yako Kwa Dakika 30 Tu ).

Hata Gardner ana anatangaza masaa 4 lakini anakula parefu.

Sasa Kama Unadhani Kurundikiwa Mzigo Wa Majukumu Ndio Mafanikio, Utakuwa Mjinga.

Tatu, Kuhusu Uongozi, Siyo Kila Mtu ANAPENDA KUWA KIONGOZI Kama Magufuli Hata Kama Hawawezi.
Kuna Watu Wanapenda Kuwa Huru V Na Maisha Yao, So Relax.

Mwisho Kuhusu Muziki, Nadhani Adam Anajifuraha Tu Kwa Kuwa Ni Kitu Anachopenda, Sidhani Kama Ndio anakazaaa Kwamba Akitoa Ngoma Ikibuma Anakosa Pesa Ya Kodi.
Napigia mstari. Na-support ulichoandika hapo juu! Big Up!
 
Ndoto yako siyo kama ya Adam Mchomvu.

Hivyo Adam Ni Adam na Wewe ni Wewe.

Pili, Uhuru ni kila kitu ( Clouds kuna uhuru sana ).

Kama anatangaza dakika 30 na mshahara wake ni zaidi ya Laki 8 kuna tatizo gani hapo !

( Hilo tu linaonesha naoa gani alivyo Gwiji, Kuuza Sauti Yako Kwa Dakika 30 Tu ).

Hata Gardner ana anatangaza masaa 4 lakini anakula parefu.

Sasa Kama Unadhani Kurundikiwa Mzigo Wa Majukumu Ndio Mafanikio, Utakuwa Mjinga.

Tatu, Kuhusu Uongozi, Siyo Kila Mtu ANAPENDA KUWA KIONGOZI Kama Magufuli Hata Kama Hawawezi.
Kuna Watu Wanapenda Kuwa Huru V Na Maisha Yao, So Relax.

Mwisho Kuhusu Muziki, Nadhani Adam Anajifuraha Tu Kwa Kuwa Ni Kitu Anachopenda, Sidhani Kama Ndio Jnakazaaa Kwamba Akitoa Ngoma Ikibuma Anakoswa Pesa Ya Kodi.
Kweli kabisa... I think Adam knows what he is doing..
And he is happy about it!

So watu wasiforce sanaa Afanye wanavyotaka wao!
 
Aliyeshauri kale ka meena kaende xxl ni nani? Kale kanafaa taarabu na gea j2 tu ni kanapiga kelele tu..bora mamybaby kuliko uyo meena
 
Mi Nadhan muarusha huyu og apewe ara za roho tu anaweza leta radha ya mapenz kihiphop
 
Adam ni Arachuga og, ni zile damu za Hiphop ambazo hata ufanyaje huwezi kuzibadili. Tatizo ni bado hajapata wa kujua jinsi ya kumtumia huko kwenye Hiphop. Yule alipaswa apewe uwanda mpana kuwakilisha hiphop pale CMG
Aibu naona hip hop gani ya nikki wa pili?
 
Back
Top Bottom