Mawazo mfu, rudia ....hata Kama hakuziweka.... Una mawazo mfu ya kupendaWao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo mfu, rudia ....hata Kama hakuziweka.... Una mawazo mfu ya kupendaWao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Atasemwa Sana maana ana sababu ya kusemwa. Leo bado Hitler anasema ukumbuke maana alitenda mamboMsela alisha sepa ila kila kukicha magu magu
Jitu shetani limeua watu chungu nzimaHUNA SHUKRANI KABISA NAAMINI KM UPO DAR ULIKUWA UNAPITA HIYO BARABARA, WATANZANIA HATA AJE MALAKIKA ...... JPM HACHAFUKI HATA UFANYEJE.
Naona unaweza kuwaambia tu uhuni wao nikiamini hakuna asieujua, kwangu kuendelea kumuanika marehemu naona humtendei haki, muache apumzike alipopumzika.Mjomba nakusoma ila bila kuwapigia kelele sawa sawa hawa mabaradhuli hawawezi kutambua uovu wao uliopitiliza.
Kingai, Mahita, Goodluck na Jumanne wajue tunawasubiria kwa hamu. Wana maelezo muhimu ya kutupatia.
Hajaiba nyinyi ndio hamuelewiYale yalikuwa ni maigizo ilipesa zipigwe vizuri
Kapiga sn tuHajaiba nyinyi ndio hamuelewi
Hapana, alitenda makosa makubwa, acha wamsute hata akiwa maiti. KUMBUKA bado mpàka leo Hitler anasakamwa kwa maovu yake. Mahatma Gandhi anasakamwa kwa uzuri wake etc etc.Naona unaweza kuwaambia tu uhuni wao nikiamini hakuna asieujua, kwangu kuendelea kumuanika marehemu naona humtendei haki, muache apumzike alipopumzika.
Wananchi wanataka maelezo na uwazi katika kutekeleza miradi ya maendeleo na siyo longo longo!Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Basi alizila mkuu fanyeni mnalotakaTutajuaje kuwa kuna jambo la maana alifanya bila ya kuwepo na uwazi?Yeye ni Mungu hadi tumwamini?
Walijenga wakavunja na kupanua tenaNijuavyo mimi mwaka 2015 nilikuwa dar na hiyo barabara ilijengwa , lakini miaka tena ya karibu imejengwq tena
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Siro: chadema wanamuona Mbowe malaikaKwani alikuwa malaika? -- Nyakoro Sirro.
Naona unaweza kuwaambia tu uhuni wao nikiamini hakuna asieujua, kwangu kuendelea kumuanika marehemu naona humtendei haki, muache apumzike alipopumzika.
🤣Majitu majingajinga km haya yanashutumu kila kitu yanaweza kubanwa nnya yakamshutumu Magufuli
Nakumbuka Hilo hata mimi mkuuNijuavyo mimi mwaka 2015 nilikuwa dar na hiyo barabara ilijengwa , lakini miaka tena ya karibu imejengwq tena
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.Jitu shetani limeua watu chungu nzima