econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Sasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu.
APUMZIKE KWA AMANI!
Maombi yana kanuni zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu.
APUMZIKE KWA AMANI!
So what is this crap? Upuuzi tu.
Kwa hiyo tumshukuru shetani kwa kumpeleka ulaya yule mshikishwa ukuta?
"binadamu tutende wema na haki" well saidHii kauli ya mwamba mpaka leo huwa inajirudia masikioni mwangu ni kama namuona alivyokuwa akihutubia na hakisisitiza hili jambo.
Kuna wakati nahisi huyu mwamba hakuwa mtu wa kawaida hasa nikiwaza jinsi alivyopambana na issue ya corona yaani Dunia nzima ilitandwa na hofu ila yeye hakuonesha kutetereka hata pale viongozi wa dini walipoingiwa na hofu yeye alisema tumuamini Mungu na nyumba za ibada hazitofungwa hakika huyu mwamba alikuwa na imani ya kweli isiyo na unafiki.
Hivi sasa dunia nzima inaishi na corona kama alivyokuwa akisisitiza yeye. Hapo ni kwamba huyu mwamba alikuwa na uwezo wa kuona mbele zaidi kabla ya wengine hiki ni kipaji ambacho binadamu wengi hawana.
Mwamba aliokoa maisha ya watanzania wengi sana wasife kwa njaa na na maradhi mengine kisa kufungiwa ndani kuogopa corona. Pia aliokoa maisha ya maelfu ya watu wa nchi jirani kwa kutokufunga mipaka na kuhakikisha huduma za kibinadamu zinawafikia.
Kwa haya machache yanatosha kabisa mwenyezi Mungu kumsamehe dhambi zake zambi maana hazina ya wema wake itamtetea na kwa jinsi watanzania wanavyomkumbuka kila siku na kumuombea inamuongezea hazina yake binguni.
Binadamu tutende wema na haki na kufanya mambo makubwa kwenye kila sehemu unapofanyia kazi ili leo na kesho ukiwa haupo basi wema wako huishi kwa watu. Wema au ubaya wako utakufuta.
Hii kauli ya mwamba mpaka leo huwa inajirudia masikioni mwangu ni kama namuona alivyokuwa akihutubia na hakisisitiza hili jambo.
Kuna wakati nahisi huyu mwamba hakuwa mtu wa kawaida hasa nikiwaza jinsi alivyopambana na issue ya corona yaani Dunia nzima ilitandwa na hofu ila yeye hakuonesha kutetereka hata pale viongozi wa dini walipoingiwa na hofu yeye alisema tumuamini Mungu na nyumba za ibada hazitofungwa hakika huyu mwamba alikuwa na imani ya kweli isiyo na unafiki.
Hivi sasa dunia nzima inaishi na corona kama alivyokuwa akisisitiza yeye. Hapo ni kwamba huyu mwamba alikuwa na uwezo wa kuona mbele zaidi kabla ya wengine hiki ni kipaji ambacho binadamu wengi hawana.
Mwamba aliokoa maisha ya watanzania wengi sana wasife kwa njaa na na maradhi mengine kisa kufungiwa ndani kuogopa corona. Pia aliokoa maisha ya maelfu ya watu wa nchi jirani kwa kutokufunga mipaka na kuhakikisha huduma za kibinadamu zinawafikia.
Kwa haya machache yanatosha kabisa mwenyezi Mungu kumsamehe dhambi zake zambi maana hazina ya wema wake itamtetea na kwa jinsi watanzania wanavyomkumbuka kila siku na kumuombea inamuongezea hazina yake binguni.
Binadamu tutende wema na haki na kufanya mambo makubwa kwenye kila sehemu unapofanyia kazi ili leo na kesho ukiwa haupo basi wema wako huishi kwa watu. Wema au ubaya wako utakufuta.
Kichwani u mweupeTunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
.... lilionesha ushetani wake ulivyo! Alikuwa Shetani kweli kweli kwa jinsi isiyopata kutokea pahala hapa.![]()
![]()
![]()
..tukio hili.
Kwa hiyo tumshukuru shetani kwa kumpeleka ulaya yule mshikishwa ukuta?
Aaamen[emoji818][emoji817]Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Left to tell...!![]()
![]()
![]()
..tukio hili.
..Ben Saanane.
![]()
Akwilina Akwilini Bafta.
![]()
AaameniSasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu.
APUMZIKE KWA AMANI!
Another victim!
Kichwani u mweupe
Watu wazuri hawafiUmewajua maadui na mbinu zao ,unamiliki majeshi yote Sasa unalazwa vipi mavumbini?
Acha upumbavu
-Yule alipuuza masharti ya korona ikapita naye.Sasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu.
APUMZIKE KWA AMANI!
Aombewe kwa lipiHuyu ndio wakuombewa sio yule mnafiki mpenda sifa.
Aliyetaka kumuua kafa almost two years ago sasa mbona kagoma kurudi bongo!? Au mzimu wa magu utatoka chato kuja kummaliza?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acheni uthenge nyie wapumbavu.watanzania walishawapuuzia sababu ya propaganda zenu za kitoto na kipumbavu eti ben saa nane mara azory gwanda ,risasi tundulisu mbona wakina mwangosi na ulimboka chacha wangwe hampigi kelele kuwahusu Na wale viongozi wote wapo.Kama kwenda ulaya ni kushikishwa ukuta, basi viongozi wote wa Afrika hushikishwa sana ukuta, maana kila siku wanaenda huko kwa wazungu kuomba misaada.