Tumuombe radhi ambao aliposema tumuombee, hatukujua anamaanisha nini

Tumuombe radhi ambao aliposema tumuombee, hatukujua anamaanisha nini

Hii kauli ya mwamba mpaka leo huwa inajirudia masikioni mwangu ni kama namuona alivyokuwa akihutubia na hakisisitiza hili jambo.

Kuna wakati nahisi huyu mwamba hakuwa mtu wa kawaida hasa nikiwaza jinsi alivyopambana na issue ya corona yaani Dunia nzima ilitandwa na hofu ila yeye hakuonesha kutetereka hata pale viongozi wa dini walipoingiwa na hofu yeye alisema tumuamini Mungu na nyumba za ibada hazitofungwa hakika huyu mwamba alikuwa na imani ya kweli isiyo na unafiki.

Hivi sasa dunia nzima inaishi na corona kama alivyokuwa akisisitiza yeye. Hapo ni kwamba huyu mwamba alikuwa na uwezo wa kuona mbele zaidi kabla ya wengine hiki ni kipaji ambacho binadamu wengi hawana.

Mwamba aliokoa maisha ya watanzania wengi sana wasife kwa njaa na na maradhi mengine kisa kufungiwa ndani kuogopa corona. Pia aliokoa maisha ya maelfu ya watu wa nchi jirani kwa kutokufunga mipaka na kuhakikisha huduma za kibinadamu zinawafikia.

Kwa haya machache yanatosha kabisa mwenyezi Mungu kumsamehe dhambi zake zambi maana hazina ya wema wake itamtetea na kwa jinsi watanzania wanavyomkumbuka kila siku na kumuombea inamuongezea hazina yake binguni.

Binadamu tutende wema na haki na kufanya mambo makubwa kwenye kila sehemu unapofanyia kazi ili leo na kesho ukiwa haupo basi wema wako huishi kwa watu. Wema au ubaya wako utakufuta.
"binadamu tutende wema na haki" well said
 
Hii kauli ya mwamba mpaka leo huwa inajirudia masikioni mwangu ni kama namuona alivyokuwa akihutubia na hakisisitiza hili jambo.

Kuna wakati nahisi huyu mwamba hakuwa mtu wa kawaida hasa nikiwaza jinsi alivyopambana na issue ya corona yaani Dunia nzima ilitandwa na hofu ila yeye hakuonesha kutetereka hata pale viongozi wa dini walipoingiwa na hofu yeye alisema tumuamini Mungu na nyumba za ibada hazitofungwa hakika huyu mwamba alikuwa na imani ya kweli isiyo na unafiki.

Hivi sasa dunia nzima inaishi na corona kama alivyokuwa akisisitiza yeye. Hapo ni kwamba huyu mwamba alikuwa na uwezo wa kuona mbele zaidi kabla ya wengine hiki ni kipaji ambacho binadamu wengi hawana.

Mwamba aliokoa maisha ya watanzania wengi sana wasife kwa njaa na na maradhi mengine kisa kufungiwa ndani kuogopa corona. Pia aliokoa maisha ya maelfu ya watu wa nchi jirani kwa kutokufunga mipaka na kuhakikisha huduma za kibinadamu zinawafikia.

Kwa haya machache yanatosha kabisa mwenyezi Mungu kumsamehe dhambi zake zambi maana hazina ya wema wake itamtetea na kwa jinsi watanzania wanavyomkumbuka kila siku na kumuombea inamuongezea hazina yake binguni.

Binadamu tutende wema na haki na kufanya mambo makubwa kwenye kila sehemu unapofanyia kazi ili leo na kesho ukiwa haupo basi wema wako huishi kwa watu. Wema au ubaya wako utakufuta.

Yule jamaa siku natangaziwa amekufa , nilijua hakuna mkubwa zaidi ya Mungu. Kiburi Cha mwanadamu mavumbini tu.
 
Tumuogope Mungu. Kiongozi wetu huyo alikuwa na mashine maalum kwenye moyo. Mungu ndiye anaturuzuju uhai lakini kwa ujuzi wa binadamu anayeishi kwa msaada wa mashine hizo anakadriwa kuishi miaka wastani wa kumi. Kiongozi huyo alishafikisha miaka hiyo. Tusikufuru kwa kudhania mambo mabaya yasiyokuwepo. Hiyo ndiyo shida ya watanzania hasa wasiomcha Mungu kila kifo hutafutiwa sababu ambayo siyo. Mara kalogwa, kauawa nk. Hayati licha ya kwamba alikuwa alipewa masharti ya kutokusafiri kwenye ndege masafa marefu alihalalisha kwamba anabana matumizi ili kuonekana mzalendo. Tumwogope Mungu kwani kila mtu atakufa kwa tarehe zake.
 
1.jpg




lissu-data.jpg


41028383_101.jpg


..tukio hili.
.... lilionesha ushetani wake ulivyo! Alikuwa Shetani kweli kweli kwa jinsi isiyopata kutokea pahala hapa.
 
Sisi Watanzania tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea huyo mtu kwani alikuwa analipeleka Taifa letu kuzimu kabisa.
 
Sasa naelewa kwanini alisema tumuombee, alijua Maadui zake na mbinu zao, yeye akajikabidhi kutetea wasio na nguvu.

APUMZIKE KWA AMANI!
-Yule alipuuza masharti ya korona ikapita naye.
-Yule alikufuru Mungu kwa kuwananga maaskofu waliokuwa wamevaa barakoa kanisanini katikati ya wimbi la korona. Mungu akasema usinitanie.
 
Kama kwenda ulaya ni kushikishwa ukuta, basi viongozi wote wa Afrika hushikishwa sana ukuta, maana kila siku wanaenda huko kwa wazungu kuomba misaada.
Aliyetaka kumuua kafa almost two years ago sasa mbona kagoma kurudi bongo!? Au mzimu wa magu utatoka chato kuja kummaliza?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acheni uthenge nyie wapumbavu.watanzania walishawapuuzia sababu ya propaganda zenu za kitoto na kipumbavu eti ben saa nane mara azory gwanda ,risasi tundulisu mbona wakina mwangosi na ulimboka chacha wangwe hampigi kelele kuwahusu Na wale viongozi wote wapo.
 
Back
Top Bottom