Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we! we! uone ex wako aliyekujeruhi hisia zako aki move on,unabakia kumtazama tu insta na profiles fake [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]🤣🤣
Sina habari nae tena,Vipi kwako bibie,ulishapona au bado unampenda
Mbunge kwa mwezi analipwa bei gani vile? Hana lolote huyo.Daah yaan mpaka imani iliniingia faiza pamoja na kuzaa tena mtoto mwingine bado anampenda sugu tu
Uzuri wa mtu upo machoni kwa muhusika
Baba li handsome kweli lakini analiliwa sugu
Pole Faiza utapata saidi ya sugu
Daaah mkuu huu wimbo nautafuta sanaaa, Kama unao nisaidie mkuuLaumu imeuvunja moyo wangu
Check you tube upoDaaah mkuu huu wimbo nautafuta sanaaa, Kama unao nisaidie mkuu
Huyu dada utakuwa humfahamu vizuri.... amewahi kujipiga picha akiwa labor na k inaonekana then akapost insta..Sidhani kama huyu dada ni attention seeker, kazungumza yaliyoujaza moyo wake, namuombea kwa Mungu avuke salama, kila la kheri Faiza.
uyo naye atulize makalio, kwani siku izi malaya akiamua kuzaa ni lazima mwanaume amuoe au alipwe fidia, anataka kufanya vitu ambavyo avina mashiko, kwan faiza amekuwa wa kwanza kuzalishwa? yeye angesemea child support
Nilidhani nimeona mwenyeweAna sura mbovu
Hivi sasa nasonga mbeleSina habari nae tena,
"Hivi sasa nasonga mbele, maisha yangu bila ya yeye...."
make up haijapigwa babaAisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa