nYaNi wA KaLe
Senior Member
- Jul 12, 2017
- 159
- 65
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hujambo? umepotea kuleee.. vipiMola amsimaie apone. Ila majina mengine mtu anayejipa ni kujiletea balaa tu maishani.
Duh!!!Huyo mbona inafahamika alishakanyaga waya sikunyingi, so sidhani kama hiyo ndio sababu, maisha ya uchangudoa aliyoyaishi huo ugonjwa hauwezi mpa mshtuko. Mara ya mwisho nilimuona kwenye kipindi cha shilawadu wakigombea bwana na mwenzake kama miezi miwili iliyopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo starehe sana tena hawa bongo movie wanagawa hovyo
Sasa presha ,mstuko ,kuchanganyikiwa sababu ya kuathirika ?wakati anagawa papuchi hovyo hakufikiria hayo
Atulie zake akubali hali halisi
Na hii iwe fundisho kwa wasanii wa Bongo movie wote maana umalaya kwao ni fashion
Hakuna sehemu nimenyanyapa kunyanyapaa maana yake kumtenga mtu sababu ya ugonjwa wakepunguza kunyanyapaa maana kuathirika yyt anaweza kuathirika iwe ndg yako, rafiki au yy mwenyewe.
Picha Mleta Mada.
Tulishamsahau Anafananaje.
Kuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo!
!
Doooh! Au ndio maana kapotea mno siku hizi
Eeeeh[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hilo ni jina la chatacter aliyo cheza kwenye tamthilia ambayo iliwika sana miaka ya nyuma, siyo kwamba amejipachika from nowhere!
Nimeona clip yake akihojiwa, inasikitisha. Wengi wanadai alikuwa ana tembea na mume wa mtu na kujigamba sasa ndio matokeo yake kachizika.π
Wasichana wa uswahilini ndo wenye tabia hizo,JINI KABULA angesimama kwenye tasnia angekua msanii mkubwa sana,ila sasa lile JUMBA LA DHAHABU liliwalevya sana,kuanzia producer/director hadi waigizaji.Hao akina Ndende wapo mwananyamala wanazurura tu,sijui kiliwapata nini?Huyo mbona inafahamika alishakanyaga waya sikunyingi, so sidhani kama hiyo ndio sababu, maisha ya uchangudoa aliyoyaishi huo ugonjwa hauwezi mpa mshtuko. Mara ya mwisho nilimuona kwenye kipindi cha shilawadu wakigombea bwana na mwenzake kama miezi miwili iliyopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha Mleta Mada.
Tulishamsahau Anafananaje.
Pole zake. Kwa vile ni al-maarufu wapo wataalamu watajitokeza kumpatia tiba muafaka
hujambo? umepotea kuleee.. vipi