Mojojo
Member
- Jun 7, 2017
- 39
- 39
Huo ugonjwa aliopima wa kumfanya achanganyikiwe ni upi wa kiwa kwenye ubora wao huwaga hawashauriku wanasema wanakula maisha wakiteleza eti tuwaombe hivi leo hii Gigy Money akiteleza akawa hoi bado mtasema tumuombe wakati hasiki la yoyote yule now akiwa kwa ubora wake KILA MTU ATAVUNA ALICHO PANDA JAMBO BORA NI KUMREJEA MUUMBA KABLA YA KUNGOJA OMBEWA NA WATU BAKI UKIWA HUJITAMBUI NA HOIHabarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika
Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu
Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa
Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app