Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

Habarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika

Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu

Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa

Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ugonjwa aliopima wa kumfanya achanganyikiwe ni upi wa kiwa kwenye ubora wao huwaga hawashauriku wanasema wanakula maisha wakiteleza eti tuwaombe hivi leo hii Gigy Money akiteleza akawa hoi bado mtasema tumuombe wakati hasiki la yoyote yule now akiwa kwa ubora wake KILA MTU ATAVUNA ALICHO PANDA JAMBO BORA NI KUMREJEA MUUMBA KABLA YA KUNGOJA OMBEWA NA WATU BAKI UKIWA HUJITAMBUI NA HOI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duh,i hope you overcome this mwaya Jini Kabula,

sad,

kama tuliambiwa Mungu ana mipango na sisi tangu tuzaliwe.......kwa nini wengine maisha yao yawe hivi???

Anaweza kupona akili,bado hilo lingine,,,,mmnh

hio ni mwili kuwa in auto mode,am sure atapona ila baada ya kupona,sijui ata face vipi maisha yake kama muathirika,sad.
Usha concluded na kukonkludi kuwa ni mwathirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa huyu Dada hayo mambo eti alipima ugonjwa Fulani ndo akachanganyikiwa sio kweli

Walipoanza kuiigiza jumba la dhahabu alishauriwa sana nafasi anayocheza sio nzuri hivyo itamhitaji awwe karibu sana na Mungu na awe mtu wa ibada sana ili hayo maroho mabaya yasije yakampata.

Halafu pia ashawah kushauriwa kuwa asikubali hilo jina la jini kabula. Lakin kwa sabb alishawazoeza mashabiki alishindwa kulikataa.

Huwez kuiigiza muvi nafasi ya kishetan kama vile ukawa salama. Masanja mkandamizaji mwenyewe aliliona hilo akaamua kumrudia Mungu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ampokee Yesu Kristu muweza wa yote hakuna linaloshindikana kwake
 
Picha Mleta Mada.
Tulishamsahau Anafananaje.
Dah.....
12.jpg
 
Haya majina jamani wakati mwingine kama sio mara zote yanabeba maana halisi ya maneno yaliomo kwenye jina husika,inabidi tuwenayo makini sana,kwanini mtu ukubali kuitwa jini...?

Sony Z3
 
Habarini....Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika

Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu

Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa

Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Jini Kabula amevuna alichopanda .. Hivyo sioni Sababu ya kutushirikisha Kwa hali yake ikiwa kila alichokuwa anakifanya alikuwa akijua madhara yake.. Watoto wetu Umaarufu unawaponza sasa wanapokuja kuanguka Wanahitaji huruma ya wale waliokuwa wanawaona hawana hadhi ya kuwajali ndiyo wawe kimbilio.. Hapana Mkuu kwa hili Muache avune alichopanda na liwe fundisho kwa wasanii wengine..

Samahani kwa kuwa Mbali na Hoja yako ,.. Ila sisi ambao tumekuwa tukijityolewa kuwashauri tunajua tunayojibiwa.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Chuzi juzi tuu alikuwa na kashifa ya kutembea na wasanii wake huko kambini....hakika ujana maji ya moto..
Lakini kila mambo yanayo tupata leo asilimia kubwa....ni matokeo ya matendo yetu huko nyuma.....
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wasichana wa uswahilini ndo wenye tabia hizo,JINI KABULA angesimama kwenye tasnia angekua msanii mkubwa sana,ila sasa lile JUMBA LA DHAHABU liliwalevya sana,kuanzia producer/director hadi waigizaji.Hao akina Ndende wapo mwananyamala wanazurura tu,sijui kiliwapata nini?
Nilishawah kuiskia stori ya kugombea bwana kwenye redio,siku za nyuma

May Allah bless Me and You
da umenikumbusha ndende,jamaa alikuwa bishoo kinoma
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Chuzi juzi tuu alikuwa na kashifa ya kutembea na wasanii wake huko kambini....hakika ujana maji ya moto..
Lakini kila mambo yanayo tupata leo asilimia kubwa....ni matokeo ya matendo yetu huko nyuma.....
Hizi mambo alikuwa akihusishwa nazo sana.
INASEMEKANA Kabula amepata mtoto ambaye ni muunganiko wa hao watu wawili

May Allah bless Me and You
 
Jini Kabula amevuna alichopanda .. Hivyo sioni Sababu ya kutushirikisha Kwa hali yake ikiwa kila alichokuwa anakifanya alikuwa akijua madhara yake.. Watoto wetu Umaarufu unawaponza sasa wanapokuja kuanguka Wanahitaji huruma ya wale waliokuwa wanawaona hawana hadhi ya kuwajali ndiyo wawe kimbilio.. Hapana Mkuu kwa hili Muache avune alichopanda na liwe fundisho kwa wasanii wengine..

Samahani kwa kuwa Mbali na Hoja yako ,.. Ila sisi ambao tumekuwa tukijityolewa kuwashauri tunajua tunayojibiwa.
Hujakosea upo kwenye mada

May Allah bless Me and You
 
Mume wa mtu hajawahi kumuacha mtu salama
 
Back
Top Bottom