Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
umesema kweli mdada,wengi wanaangamia kwa kukosa access to treatment for mental health problem,sijui siku hizi km zimeongezeka,ila nimekumbuka,hospital zilizkuwepo zilikua mbili tu;muhimbili Dar,na Mirembe Dodoma,sad aisee,
Kanisani wanatibu ngwengwe???Haya majina au character wanazocheza huwa haziwaachi salama, yule dada aliekua kwenye nsyuka kuna siku alishuhudia kua ile filamu ilimletea magonjwa makubwa mpaka alipoombewa
Mwingine ni Saladin, aliumwa mapepo mpaka kaokoka ndiyo amepona .
Kabula ajachelewa aende kanisani atapona kabla hali haijawa kuwa mbaya, nimemuonea huruma sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkakumbuka kausemi "mi natokea dar"😀😀 Mungu anisamehe, baada ya kumuonea huruma nilianza kucheka nilipo angalia clip yake akihojiwa na jamaa wa global tv. Dada zetu wakiwa kwenye chart unaweza ukasema ni wamarekani kweli. Sasa alivyompigia wema sepetu 😀 kuna lafudhi flan hiv had nikashangaa ndo kabula huyu kwel?,
Anyway watu wamsaidie huyu mdada kwel hali yake mbaya
Unajua nguvu iliyopo nyuma ya jina la mtu wewe? Tafuta watu walio vizuri kiroho wakufahamishe.Mshana na wewe unafanya tu mambo yawe magumu.... kwanza hilo jina limetokea tu by chance na jamii wakakubaliana kwamba litawakilisha kiumbe fulani chenye nguvu ya ajabu ajabu lakini kimsingi hilo ni jina tu kama ilivyo kiti, sufuria, mbuzi au pilau...... swali, hivi leo mtu akijiita chanuo na yeye ataanza kubehave kama chanuo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Atafunga akiwa kwenye hali hiyo kweli? Kama umefunuliwa hilo unaweza kufunga kwaajili yake na Mungu wa mbinguni atakubariki sanaNi wachache sana watakao kuelewa. Huyu tayari ni binadamu anayeishi na nafsi ya jini.
Hapa tunamuona ni Miriam lkn kumbe ni jini tena zenye uharibifu mkubwa ndani yake.
Anapaswa baridi kwenye maombi tena ya kufunga Adi aweze kujinasua toka kwenye nafsi ya jini
Sent using Jamii Forums mobile app
ndende alioa yuko vzur alimpa mkewe ndinga siku ya harusiWasichana wa uswahilini ndo wenye tabia hizo,JINI KABULA angesimama kwenye tasnia angekua msanii mkubwa sana,ila sasa lile JUMBA LA DHAHABU liliwalevya sana,kuanzia producer/director hadi waigizaji.Hao akina Ndende wapo mwananyamala wanazurura tu,sijui kiliwapata nini?
Nilishawah kuiskia stori ya kugombea bwana kwenye redio,siku za nyuma
May Allah bless Me and You
Serious?ndende alioa yuko vzur alimpa mkewe ndinga siku ya harusi
Yaani akili za kwenda mpaka Global Publishers alikua nazo, ila za kujua ndugu zake halisi hakua nazo??Habarini....
Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika
Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu
Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa
Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho
==============================
[emoji79] [emoji79]Kuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo
May Allah bless Me and You
Tumumbuke kuwa hakujipa hilo jina bayabaya, alipewa tu na mashabiki wakati akiigiza kama jini kwenye tamthilia, watu wameliendeleza hata baada ya tamthilia kuishaMola amsimaie apone. Ila majina mengine mtu anayejipa ni kujiletea balaa tu maishani.
Sure mkuu Kabula ametoka kimahusiano na Mr.Nice....hivyo hii ni chain moja kabambe na Mr.Nice alitoka kimahusiano na Diana Aston VillaKuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo
May Allah bless Me and You
Sure mkuu Kabula ametoka kimahusiano na Mr.Nice....hivyo hii ni chain moja kabambe na Mr.Nice alitoka kimahusiano na Diana Aston VillaKuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo
May Allah bless Me and You
Mtandao HUOSure mkuu Kabula ametoka kimahusiano na Mr.Nice....hivyo hii ni chain moja kabambe na Mr.Nice alitoka kimahusiano na Diana Aston Villa
Sent using Jamii Forums mobile app
Majina mabaya huwa yanavuma sana!Mola amsimaie apone. Ila majina mengine mtu anayejipa ni kujiletea balaa tu maishani.