Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

umesema kweli mdada,wengi wanaangamia kwa kukosa access to treatment for mental health problem,sijui siku hizi km zimeongezeka,ila nimekumbuka,hospital zilizkuwepo zilikua mbili tu;muhimbili Dar,na Mirembe Dodoma,sad aisee,


Na kwa hali ya Uchumi ilivyo kwa sasa hapa nchini, the worst is bound to happen....msongo wa mawazo itakua ndio ugonjwa mkuu kwa jamii kubwa sana hapa nchini na wengi hawajui kama ni ugonjwa so wengi tunawapoteza either kwa mauti ya mapema ama kupoteza akili!
 
Haya majina au character wanazocheza huwa haziwaachi salama, yule dada aliekua kwenye nsyuka kuna siku alishuhudia kua ile filamu ilimletea magonjwa makubwa mpaka alipoombewa

Mwingine ni Saladin, aliumwa mapepo mpaka kaokoka ndiyo amepona .

Kabula ajachelewa aende kanisani atapona kabla hali haijawa kuwa mbaya, nimemuonea huruma sn

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisani wanatibu ngwengwe???

Delta Force
 
😀😀 Mungu anisamehe, baada ya kumuonea huruma nilianza kucheka nilipo angalia clip yake akihojiwa na jamaa wa global tv. Dada zetu wakiwa kwenye chart unaweza ukasema ni wamarekani kweli. Sasa alivyompigia wema sepetu 😀 kuna lafudhi flan hiv had nikashangaa ndo kabula huyu kwel?,

Anyway watu wamsaidie huyu mdada kwel hali yake mbaya
Nkakumbuka kausemi "mi natokea dar"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana na wewe unafanya tu mambo yawe magumu.... kwanza hilo jina limetokea tu by chance na jamii wakakubaliana kwamba litawakilisha kiumbe fulani chenye nguvu ya ajabu ajabu lakini kimsingi hilo ni jina tu kama ilivyo kiti, sufuria, mbuzi au pilau...... swali, hivi leo mtu akijiita chanuo na yeye ataanza kubehave kama chanuo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua nguvu iliyopo nyuma ya jina la mtu wewe? Tafuta watu walio vizuri kiroho wakufahamishe.
 
Ni wachache sana watakao kuelewa. Huyu tayari ni binadamu anayeishi na nafsi ya jini.

Hapa tunamuona ni Miriam lkn kumbe ni jini tena zenye uharibifu mkubwa ndani yake.

Anapaswa baridi kwenye maombi tena ya kufunga Adi aweze kujinasua toka kwenye nafsi ya jini



Sent using Jamii Forums mobile app
Atafunga akiwa kwenye hali hiyo kweli? Kama umefunuliwa hilo unaweza kufunga kwaajili yake na Mungu wa mbinguni atakubariki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasichana wa uswahilini ndo wenye tabia hizo,JINI KABULA angesimama kwenye tasnia angekua msanii mkubwa sana,ila sasa lile JUMBA LA DHAHABU liliwalevya sana,kuanzia producer/director hadi waigizaji.Hao akina Ndende wapo mwananyamala wanazurura tu,sijui kiliwapata nini?
Nilishawah kuiskia stori ya kugombea bwana kwenye redio,siku za nyuma

May Allah bless Me and You
ndende alioa yuko vzur alimpa mkewe ndinga siku ya harusi
 
Habarini....
Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika

Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient yaani ameshakuwa mgonjwa wa akili....hili tatizo kama likimzidia tusishangae akapewa Reffaral kwenda Mirembe Dodoma! Ili asifike hukoo anahitaji msaada wetu na maombi yetu

Unaambiwa kwa stori za kunyapia nyapia..Jini kabula alipima Ugonjwa Fulani Miezi 3 iliyo pita baada ya kubainika kuwa ni Muathirika ndipo alipo pata msongo wa mawazo na kupelekea kulazwa kwenye wodi la vichaa kutokana na hali yake....sasa Jini Kabula anahitaji maombi yetu na msaada wetu katika halii aliopo sasa

Ulikuwa umkimuuliza anaongea vitu visivyo eleweka mara yeye ni wa musoma mara marekani mara pacha wake Rihanna yaani kwa wanao mfahamu mgonjwa wa Akili watakuwa wanaelewa sasa ili dada etu asifike huko Mirembe anahitaji faraja yetu na msaada wetu....tusipoteze kipaji hicho
==============================

Yaani akili za kwenda mpaka Global Publishers alikua nazo, ila za kujua ndugu zake halisi hakua nazo??
 
Kuna kipindi iliripotiwa ana hang out na Mr Nice,ni miaka mingi kidogo

May Allah bless Me and You
[emoji79] [emoji79]
Mr nice tenaa! Si alitajwa kwene orodha ya yule mkata viuno Aston villa( rip)??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mola amsimaie apone. Ila majina mengine mtu anayejipa ni kujiletea balaa tu maishani.
Tumumbuke kuwa hakujipa hilo jina bayabaya, alipewa tu na mashabiki wakati akiigiza kama jini kwenye tamthilia, watu wameliendeleza hata baada ya tamthilia kuisha
 
Ktk listi ya mabwana zake siku ile ktk kipindi cha shilawadu alimtaja abdu banda na niyonzima,kama hawa mabwana walipita kavukavu dah mungu awanusuru
 
Sawa Ila Kuna Watu Wanahitaj Maomb Zaid Ya Kabula Ila Hatujawajua Tu
 
Back
Top Bottom