Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
Tuendelee kumuombea mungu ampe mtanzania mwenzetu uwezo wa kupambana na ugonjwa huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina ni muhimu jamani, kuna members hapa wanakera na kuudhi kila kukicha na wakati mwingine unatamani wasingekwepo kabisa na labda kwa yale wanayoyasema kila siku humu hata Mungu amekasirika na kuamua kuwanyamazisha, hili lina ushahidi wa wazi kwenye forum ya dini,sitotaja majina yao wasije wakanisomea 'itikafu' buree.Nitakuwa mnafiki(naamini na majority) kama nikisema hapa 'namuombea heri' Bw. Hasara baada ya ule ushenzi aliotufanyia last week-kuliko kuua JF ni bora afe yeye kwanza na kama ni yeye na withdraw maombi yangu.Ningependa kujua maombi yangu yanakwenda kwa nani.
Mkuu Mwawado,Jamaa zake wa karibu wameshauri litajwe jina lake halisi.Mdau anaitwa Felix Makene