Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Juzi kaitisha press conference kuelezea hali ya usalama inavyoendelea nchini baada ya mauaji ya Mzee MeD kiongozi wa CHADEMA.
Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga makubwa
Amezungumza mambo makubwa na lawama na mshangao wake kaelekeza moja kwa moja kwa wahusika bila kificho wala kupepesa macho.
Mambo yale yangezungumzwa na sisi tunaoitwa wapinzani sidhani hata kama ile press Conference ingeisha
Pamoja na kutambulika na kuheshimika kwake mzee Butiku.. Pamoja na ulinzi alionao lakini tumuombee sana.
Kwa namna watu walivyochanganyikiwa huko ndani, kitendo cha kuwakosoa kwa namna ya mzee Butiku ni kujipalia makaa ya moto mkali na kutangaza uadui
Video hizi hapa za yote aliyonena mzee Bujiku... Tumuombee sana.
Soma Pia:
Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga makubwa
Amezungumza mambo makubwa na lawama na mshangao wake kaelekeza moja kwa moja kwa wahusika bila kificho wala kupepesa macho.
Mambo yale yangezungumzwa na sisi tunaoitwa wapinzani sidhani hata kama ile press Conference ingeisha
Pamoja na kutambulika na kuheshimika kwake mzee Butiku.. Pamoja na ulinzi alionao lakini tumuombee sana.
Kwa namna watu walivyochanganyikiwa huko ndani, kitendo cha kuwakosoa kwa namna ya mzee Butiku ni kujipalia makaa ya moto mkali na kutangaza uadui
Video hizi hapa za yote aliyonena mzee Bujiku... Tumuombee sana.
Soma Pia: