Tumuombee sana Mzee Butiku wa taasisi ya Mwalimu Nyerere

Tumuombee sana Mzee Butiku wa taasisi ya Mwalimu Nyerere

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Juzi kaitisha press conference kuelezea hali ya usalama inavyoendelea nchini baada ya mauaji ya Mzee MeD kiongozi wa CHADEMA.

Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga makubwa
Amezungumza mambo makubwa na lawama na mshangao wake kaelekeza moja kwa moja kwa wahusika bila kificho wala kupepesa macho.

Mambo yale yangezungumzwa na sisi tunaoitwa wapinzani sidhani hata kama ile press Conference ingeisha

Pamoja na kutambulika na kuheshimika kwake mzee Butiku.. Pamoja na ulinzi alionao lakini tumuombee sana.

Kwa namna watu walivyochanganyikiwa huko ndani, kitendo cha kuwakosoa kwa namna ya mzee Butiku ni kujipalia makaa ya moto mkali na kutangaza uadui

Video hizi hapa za yote aliyonena mzee Bujiku... Tumuombee sana.

Soma Pia:
 
Sioni sababu ya kuwa na hofu yoyote, Mzee Butiku ametumia haki yake kikatiba kutoa maoni yake, hajavunja sheria yoyote.

Akidhurika kwa vyovyote vile, wahusika watajulikana kirahisi sana hata kama huwa wanajiita wasiojulikana.
Hata Kina Soka na wengine wengi walikuwa wanatumia haki hao hiyohiyo ya kikatiba kumbuka
 
Juzi kaitisha press conference kuelezea hali ya usalama inavyoendelea nchini baada ya mauaji ya Mzee MeD kiongozi wa CHADEMA.

Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga makubwa
Amezungumza mambo makubwa na lawama na mshangao wake kaelekeza moja kwa moja kwa wahusika bila kificho wala kupepesa macho.

Mambo yale yangezungumzwa na sisi tunaoitwa wapinzani sidhani hata kama ile press Conference ingeisha

Pamoja na kutambulika na kuheshimika kwake mzee Bujiku.. Pamoja na ulinzi alionao lakini tumuombee sana.

Kwa namna watu walivyochanganyikiwa huko ndani, kitendo cha kuwakosoa kwa namna ya mzee Bujiku ni kujipalia makaa ya moto mkali na kutangaza uadui

Video hizi hapa za yote aliyonena mzee Bujiku... Tumuombee sana.

Soma Pia:
Rekebisha (edit) umemtaja mara mbili tatu kwa Jina la Bujiku badala ya Butiku.
 
Sioni sababu ya kuwa na hofu yoyote, Mzee Butiku ametumia haki yake kikatiba kutoa maoni yake, hajavunja sheria yoyote.

Akidhurika kwa vyovyote vile, wahusika watajulikana kirahisi sana hata kama huwa wanajiita wasiojulikana.
Hata
Rekebisha (edit) umemtaja mara mbili tatu kwa Jina la Bujiku badala ya Butiku.
Sawa tayari
 
Juzi kaitisha press conference kuelezea hali ya usalama inavyoendelea nchini baada ya mauaji ya Mzee MeD kiongozi wa CHADEMA.

Mimi kwangu kule nakuita kujilipua na uthubutu wa aina yake katikati ya mazingira tuliyo nayo sasa... Maana kusema KWELI na kwa UWAZI kwasasa ni kujitafutia majanga makubwa
Amezungumza mambo makubwa na lawama na mshangao wake kaelekeza moja kwa moja kwa wahusika bila kificho wala kupepesa macho.

Mambo yale yangezungumzwa na sisi tunaoitwa wapinzani sidhani hata kama ile press Conference ingeisha

Pamoja na kutambulika na kuheshimika kwake mzee Butiku.. Pamoja na ulinzi alionao lakini tumuombee sana.

Kwa namna watu walivyochanganyikiwa huko ndani, kitendo cha kuwakosoa kwa namna ya mzee Butiku ni kujipalia makaa ya moto mkali na kutangaza uadui

Video hizi hapa za yote aliyonena mzee Bujiku... Tumuombee sana.

Soma Pia:
Huyo ndiye mwana CCM pekee aliyebaki.
 
Back
Top Bottom