Tumuombee sana Mzee Butiku wa taasisi ya Mwalimu Nyerere

Boss unakumbuka Bernard Membe? Mungu amlaze mahali pema peponi, wao kwa wao kukosoana hawaduriani kiviile. Hata MB mpina hawawezi kumgusa
 
Sioni sababu ya kuwa na hofu yoyote, Mzee Butiku ametumia haki yake kikatiba kutoa maoni yake, hajavunja sheria yoyote.

Akidhurika kwa vyovyote vile, wahusika watajulikana kirahisi sana hata kama huwa wanajiita wasiojulikana.

Kweli kabisa ingawa hii haki watu wabinafsi wanataka kuipokonya iwe yao tu.
Wengine wote tusithubutu kusema chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…