DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
Aisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo😥😥
High Blood Pressure Inasababisha matatizo kama figo. Moyo. Stroke nk. Baba yake alikuwa na tatizo hilo, na yeye utakuta alikuwa nalo pia. Sometimes linarithiwa na family membersAisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo😥😥
AmenMwenyezi Mungu mwingi wa rehema amponye Amen
Mdau unataka picha ya Jay akiwa hospitali au!? Maana kama ni picha tu zipo mtandaoni nyingi tu.Picha Uzi bila picha ...JF ondoweni uzii huu hauna picha
"Seed Oil" kama alizeti na mafuta mengi ya kupikia ni sumu na hatari sana kwa mwili kuliko wengi wanavyoelewa. Mafuta ambayo ni safe hadi sasa kwa mujibu wa wataalamu wa Lishe ni Olive Oil na Ghee/Samli Ukishindwa hayo gonga chukuchuku tuu.Kweli aisee Kuna ndugu yangu mmoja alikua mfuatiliaji mzuri Sana wa masuala ya afya anakula vizuri mafuta hatumii ikibidi Sana kutumia mafuta anatumia ya alizeti tu pombe hanywi yaani kwa kifupi alikua anajali Sana afya yake kupitia chakula lakini bahati mbaya tulimpoteza kwa kansa.kwahiyo kifo ni fumbo
Watu wa Korie tuko apa tunatafakari"Seed Oil" kama alizeti na mafuta mengi ya kupikia ni sumu na hatari sana kwa mwili kuliko wengi wanavyoelewa. Mafuta ambayo ni safe hadi sasa kwa mujibu wa wataalamu wa Lishe ni Olive Oil na Ghee/Samli Ukishindwa hayo gonga chukuchuku tuu.
Vijana kujidunga mapombe makali bila kula kitu cha maana ni hatari mno!Aisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo😥😥
DAwa ya sukari ni nini au haina tiba?Sukari ni adui mkubwa wa figo.
Tumuombee apate kurejea katika uzima🙏
Pombe kali na vilevi vigumuAisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo[emoji26][emoji26]
Mimi ni mkulima mpaka leozinatofautiana kiwango mzee, acha mbwembwe. ulishawahi kuwa mkulima?