Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani michango bado inaendelea? Serikali si imesema itagharamia kila kitu?
Halafu Ugonjwa gani unamsumbua mshikaji?
[emoji2969][emoji24]Wakuingilia kati ni Yesu au ni Mungu aliyemuumba Yesu na aliyemuumba huyo Prof. J? Maana nijuavyo mimi huyo Yesu mwenyewe anamuomba Mungu. Mimi nasema, eeh Mungu uliyemuumba Yesu, Maria, Muhammad, mimi na Prof. J; muokoe mja wako toka ktk hali ngumu ya maradhi aliyonayo kama ulivyomuokoa mja na nabii wako Yunus toka ktk mdomo wa samaki Chewa. Hakika hakuna lenye kukushinda wewe Muumba mbingu, ardhi na vyote vya duniani na kila mahali. Hakuna anayestahili kuombwa kwa haki isipokuwa wewe pekee usiye na mshirika. Amen
Soma post #1 usiwe garasa kama Mugalu.