Tumuombeeni R Kelly asifungwe

Wazazi wanachangia sana kwani watoto ni vulnerable people wanahitaji kuangaliwa sana na kuchungwa pia
Unanuona mtoto mdogo ana vitu vya thamani unaona kawaida tu
Kweli Mungu awalinde lakini na sisi tujitahidi kukaa nao karibu
I love my little girls to bit na ninawapa hela zaidi kuliko boys kwa sababu ya mahitaji yao mengi sio kama boys
Don't get me wrong nawapenda wote siwabagui ila hawa wanaoangaliwa na hyenas ndio jicho langu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
[emoji16][emoji16][emoji16]...nakuelewa japo umejiwahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanumba alimbemenda sana Lulu
Kweli kabisa mkuu imagine alikuwa innocent little girl ambae akaja kupata matatizo yote haya
Parents ni wa kuwalaumu
Na haka katoto kanakochipukia sasa watakaharibu kabla hakajafika miaka 14 kama wazazi hawatamchunga kwa watu wachafu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Ashafilisika na hapo ndo utaona wameanza kumshinda !! Naona kabisa R kelly akisongwa na msongo mkubwa wa mawazo?
 
Storm is over
 
Your browser is not able to display this video.








MJ hapo akielezea walichomfanyia wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…