ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
inasemekana"binadamu anachoka kufikiri anapatikana tanzania"
Maana nchi hii awe profesa, kajamba nani hawana tofauti yoyote ya kufikiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inasemekana"binadamu anachoka kufikiri anapatikana tanzania"
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA
Huyu binti alitakiwa kwanza mpaka muda huu awe polisi kwa kosa la kughushi ila kwa vile baba yake ni mbunge tena wa ccm hapo sheria zinakuwa hazipo nchi ipo mfukoni hii
ukweli huyu dada nimemuona kwa tv,anazaidi ya miaka 25,huu ni mwaka wa uchakuaji.
Sawa kama umri ni namba as you say lakini kwa adanganye.. There is something fishy behind
umri sio kitu, ni namba tu.
Miss World hawataki mwanamke ambaye kashazaa kule. Huyu hawezi kufikisha viwango, ataishia kuwa Miss Lundenga.
inasemekana"binadamu anachoka kufikiri anapatikana tanzania"
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA
Suala ni kudanyanya umri ambalo ni kosa kisheria, nani nakuambia kukaa na wazungu au kuongea kiingereza ndo kujua ingekuwa hivyo basi wale Watanzani waliokuwa wakiwapeleka watoto wao Uganda wasingeacha, au wanafunzi wote wanaosoma english mediam wangekuwa wanafaulu wote na kwa kiwango kikubwa.
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA
Amezaa lini? wapi? lete ushahidi wa picha alivyokuwa anaingia leba。 Amekanusha kuwa na mtoto
Amekanusha wapi?
Picha anayoingia leba ndo uthibitisho madhibuti kabisa kwako wewe siyo?
Duu hajafanya plastic surgery kweli kwan mi ckielewi kidevu, mashav na pua yake ilivyokaa