Tumuunge mkono Miss Tanzania atatuwakilisha vyema Miss World

Tumuunge mkono Miss Tanzania atatuwakilisha vyema Miss World

Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA

Eish yaani we ndugu yangu ni bonge la mnduku....hujitambui
 
ukweli huyu dada nimemuona kwa tv,anazaidi ya miaka 25,huu ni mwaka wa uchakuaji.
 
Huyu binti alitakiwa kwanza mpaka muda huu awe polisi kwa kosa la kughushi ila kwa vile baba yake ni mbunge tena wa ccm hapo sheria zinakuwa hazipo nchi ipo mfukoni hii

Lete ushahidi wa kughushi acha kuropoka
 
Miss World hawataki mwanamke ambaye kashazaa kule. Huyu hawezi kufikisha viwango, ataishia kuwa Miss Lundenga.
 
Miss World hawataki mwanamke ambaye kashazaa kule. Huyu hawezi kufikisha viwango, ataishia kuwa Miss Lundenga.

Amezaa lini? wapi? lete ushahidi wa picha alivyokuwa anaingia leba。 Amekanusha kuwa na mtoto
 
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA

Suala ni kudanyanya umri ambalo ni kosa kisheria, nani nakuambia kukaa na wazungu au kuongea kiingereza ndo kujua ingekuwa hivyo basi wale Watanzani waliokuwa wakiwapeleka watoto wao Uganda wasingeacha, au wanafunzi wote wanaosoma english mediam wangekuwa wanafaulu wote na kwa kiwango kikubwa.
 
Suala ni kudanyanya umri ambalo ni kosa kisheria, nani nakuambia kukaa na wazungu au kuongea kiingereza ndo kujua ingekuwa hivyo basi wale Watanzani waliokuwa wakiwapeleka watoto wao Uganda wasingeacha, au wanafunzi wote wanaosoma english mediam wangekuwa wanafaulu wote na kwa kiwango kikubwa.

Sitti ameleta ushahidi wa cheti cha kuzaliwa.. Na wewe lete ushahidi wa kudanganya umri..
 
Mnaosema amedanganya umri mlikuwepo siku anazaliwa? wehu nyie
 
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA

kwanini tumuunge mkono huyu anaekwenda kutuwakilisha mwakani na si huyu anaekwenda kutuwakilisha mwaka huu?
 
Amezaa lini? wapi? lete ushahidi wa picha alivyokuwa anaingia leba。 Amekanusha kuwa na mtoto

Amekanusha wapi?

Picha anayoingia leba ndo uthibitisho madhibuti kabisa kwako wewe siyo?
 
Duu hajafanya plastic surgery kweli kwan mi ckielewi kidevu, mashav na pua yake ilivyokaa
 
laki si pesa ni miongoni mwa makomedians hapa JF huwa anafanana sana na Nape Nnauye kuanzia tumbo mpaka akili!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom