careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Tatizo la mdude cjui alikua anatumika?? Sina uhakika kama ni akili yake au pengine alikua anauza kweli? Kwasabu najiuliza mtu gan kila unavyokoswakoswa kutekwa nankuteswa juu kesho tena unarudia?? Yan hata mwenyekiti wake alifika sehem akatulia na mpaka akataka kukimbia nchi lakini yeye yumo tu tatizo nini? Washauri wake wa karibu na wa mtandaon walijitahid kumshauri aache bado tu alikua haelewi, watu walimtolea mfano wa ben saanane alivyopotezwa bado tu alikua haelewi?
Nadhani mdude anatatizo jingine zaid siyo kukosoa tu
Nadhani mdude anatatizo jingine zaid siyo kukosoa tu